Dodoma, 20 Agosti 2025. Wiki moja baada ya uzinduzi wa kitaifa jijini Dar es Salaam, kampuni ya huduma za kifedha kwa njia ya simu, Mixx, imeendelea na mpango wake wa kusogeza karibu huduma za kifedha za kidigitali kwa kuzindua kampeni ya Kila Hatua Mixx jijini Dodoma. Hatua hii inalenga...