Kwa kinacho tokea world cup kuna namna kama huo msemo una coleration flani na reality
Angalia, jinsi timu zinavyo hustle, zinakamia mwanzoni then baadae ni kama wanaingiwa pepo uzembe, wanaanza kuacha myanya, wanaanza kufanya makosa ya usahihi wa pasi..
Mpaka unajiuliza mbona kama ngozi...