Nigusie kwenye issue mbili tu kutazama udhaifu uliopo ndani ya viongozi wa CHADEMA, LISSU excluded. LISSU namheshimu sana na kumpenda. Hana sifa za kuishi kwa fedha chafu. Ni mzalendo kweli kweli ingawa anatumia mbinu za 1960 kupigana 2025. Hatofanikiwa.
Issue ya kwanza: KESI YA LISSU
Wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.