Bado hali si rafiki kwa CHADEMA kila siku wao na mahakama, kesi zimezidi kulindima kila kukicha kwao>
Au tuseme serikali ya CCM imeendelea kuwazofisha tu, na ukizingatia Kuna mipango ya maandamano ya Oktoba 29
===============
FAHAMU kwamba shauri lililotajwa hapo juu limepangwa kuitwa kwa ajili...