Leo nilikuwa kwenye bus muda mfupi baada ya safari kuanza kama ilivyo utaratibu wa bus nyingi kama sio zote za kisasa mhudumu wa gari akaanza matangazo mbalimbali lakini kabla ya yote akawataka abiria wasali kwa ajili ya safari.
Huyo mhudumu akasema anajua kwenye gari wapo watu wa aina...