wasimamizi wa uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    Wasimamizi wa uchaguzi Uganda waliowatangaza wagombea wa upinzani kushinda nafasi za Ubunge na Udiwani wakamatwa na polisi na kushushiwa kipigo

    Afrika ni ngumu sana kwa baadhi ya mataifa! Mfano mataifa ya Afrika Mashariki yanatia aibu sana katika mchakato wa uchaguzi walau Kenya kuna misingi ya Haki na sio Tanzania wala Uganda na mataifa mengine ni kunaukandimizaji wa haki mkubwa sana katika kipindi cha uchaguzi! Ukoloni mpya unazidi...
  2. Genius Man

    Video za Oct 29 zinaonesha wazi kulikuwa kuna vituo vingi wasimamizi wa uchaguzi walikuwa wanajaza makaratasi ya kura feki hakukuwa na uchaguzi

    Video za Oct 29 zinaonesha wazi kulikuwa kuna vituo vingi wasimamizi wa uchaguzi walikuwa wanajaza makaratasi ya kura feki hakukuwa na uchaguzi. Aidha hatujasikia tume huru ya uchaguzi ikikanusha jambo lile kuwa zile video ni Ai na hakuna hatua zozote za kisheria zilizo chukuliwa dhidi yao...
  3. Common Folk

    Mange Kimambi: Wasimamizi wa Uchaguzi Walipewa Maelekezo Wamtiki "Samia" Katika Karatasi za Kupigia Kura (Video za Ushahidi Zipo)

    Ameandika Mange Kimambi kwenye mtandao wa Instagram, "Wasimamizi wa uchaguzi walikuwa wanatiki wenyewe na sasa wameaniza kunitumia video walivyokuwa wanatiki. Na kwenye semina walikuwa wanaambiwa kabisa kama kituo chako kina watu 400 lazma urudishe kura 400 za Samia."
  4. C

    Wasimamizi wa uchaguzi wanalipwa Tsh. 550,000 kila mmoja nchi nzima kwa uchaguzi wa kihuni halafu hospitali hakuna dawa wala vifaa tiba

    Kuna mambo ukiyasikia nchi hii yanaumiza sana ,hii nguvu yote hii na ufujaji wote huu kuna nini hasa ikulu kinacho ng'ang'aniwa Makadirio wasimamizi wa uchaguzi ni 67,000 maana kila kituo kina watu wanne nchi nzima na kila mmoja kapewa Tsh.550,000/= kama pesa ya usimamizi yaan malipo ambayo...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wasimamizi wa Uchaguzi Geita Waaswa Kuepuka Vitisho na Upendeleo

    Wasimamizi wa uchaguzi mkoani Geita wametakiwa kuhakikisha wanaweka mazingira salama na ya haki, bila vitisho, ununuzi wa kura na upendeleo kama sehemu ya wajibu wao wa kusimamia zoezi la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu. Akizungumza wakati wa mafunzo kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Jaji Mwambegele: Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu msipokee maagizo ya nje ya tume

    Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi Mkuu ngazi ya Kata wametakiwa kufanya kazi kwa weledi kwa kuzingatia sheria, kanuni na miongozo ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, bila kupokea au kutekeleza maagizo kutoka nje ya Tume hiyo. Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 5, 2025 na Mwenyekiti wa Tume Huru ya...
  7. Waufukweni

    GE2025 Kailima: Kutumia Mabango ya Kampeni lazima upate idhini kutoka Tume au Wasimamizi wa Uchaguzi

    Mkurugenzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (iNEC), Ramadhani Kailima amesema, "Endapo vyama vya siasa au mgombea yeyote atahitaji kutumia machapisho kama vile mabango au vipeperushi vyenye matangazo ya kampeni, vitapaswa kuomba idhini kwenye Mamlaka husika (1) Kwa uchaguzi wa kiti cha Rais...
  8. Dr Akili

    GE2025 Ushauri: Tume ya uchaguzi iwateue Mahakimu wakazi na Mahakimu wa wilaya kuwa wasimamizi wa uchaguzi mkuu kwenye maeneo yao kuondoa hii sintofahamu

    Uchaguzi mkuu ni mchakato nyeti wa kisheria. Ndiyo maana hata huko juu kwenye ngazi za makamishina wa Tume ya uchaguzi unaongozwa na majaji waandamizi. Mtiririko huo ungaliteremka hadi kwenye ngazi za wilaya na manispaa kwa kutumia mahakimu wakazi na mahakimu wa wilaya kama watumishi waandamizi...
  9. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Waratibu na Wasimamizi wa Uchaguzi Wapatiwa Mafunzo Maalum Jijini Arusha

    WARATIBU wa uchaguzi , wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo wamekutana jijini Arusha kwa siku tatu kwa ajili ya mafunzo ikiwa ni maandalizi ya kuwawezesha kutekeleza ipasavyo kazi na jukumu lililo mbele yao. Akifungua mafunzo hayo leo Mjumbe wa Tume huru ya...
  10. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wasimamizi wa Uchaguzi Mwanza na Mara Watakiwa Kushirikisha Vyama vya Siasa Kikamilifu

    Maafisa na wasimamizi wa uchaguzi katika mikoa ya Mwanza na Mara wametakiwa kuhakikisha wanavishirikisha vyama vya siasa kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi, huku wakizingatia sheria na kuiepuka migogoro inayoweza kuibuka wakati wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Wito...
  11. Just Pray

    GE2025 Waratibu na wasimamizi wa uchaguzi Kilimanjaro na Tanga, watakiwa kupunguza makundi sogozi 'WhatsApp'

    Waratibu na wasimamizi wa uchaguzi kutoka mikoa ya Kilimanjaro na Tanga, wametakiwa kupunguza makundi sogezi 'Whats App' katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, ili kuepuka kuvujisha taarifa za siri kwa kutuma sehemu isiyostahili. Mbali na hilo pia waratibu hao na wasimamizi...
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 INEC yawataka wasimamizi wa Uchaguzi kuzingatia Katiba na Sheria

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wasimamizi wa uchaguzi walioteuliwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kuhakikisha wanazingatia kwa kina Katiba, Sheria na Miongozo ya uchaguzi, sambamba na kuvishirikisha kikamilifu vyama vyote vya siasa vyenye usajili halali katika hatua zote za...
  13. Idugunde

    Kama watumishi wa serikali za mitaa walio chini ya Mkurugenzi ambae ni mteule wa rais ndio wasimamizi wa uchaguzi , uchaguzi hauwezi kuwa huru

    Yaani hawa maafisa wa haashauri ambao wote kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa umma wanatakiwa kuwa watiifu kwa serikali iliyopo madarakani. Uchaguzi hauwezi kuwa huru na wa haki Tunahitaji katiba mpya ambayo kutakuwa na watu huru kabisa. Sio hawa walioteuliwa na INEC wakati kanuni za utumishi...
  14. Genius Man

    Wasimamizi wa uchaguzi wazalendo wanapaswa pia kupiga picha wizi wa kura kwenye uchaguzi kama njia ya kufichua uovu na kuchochea mabadiliko ya haki

    Nitoe wito kwa Wasimamizi wa uchaguzi wazalendo wanapaswa pia kupiga picha wizi wa kura kwenye uchaguzi kama njia ya kufichua uovu na kuchochea mabadiliko ya haki. Lazima tuwe waasi dhidi ya uovu, wizi na ufisadi ili tusonge mbele msifumbie macho suala hili kwa mchango wenu mnaweza kulisaidia...
  15. McLaren

    PreGE2025 Mbunge wa Mbogwe Nicodemus Maganga: Wasimamizi wa Uchaguzi kama kura zangu hazikutosha msiongeze, tangazeni kama zilivyo

    Wakati joto la uchaguzi likianza kupamba moto, Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga amewataka wasimamizi wa uchaguzi kutenda haki ili watoe matokeo sahihi bila kuongeza kura wala kupunguza. Mbunge huyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema mgombea akipewa kura sahihi kwenye uchaguzi...
  16. MamaSamia2025

    Napendekeza Nape na Makamba waongezwe kwenye timu ya wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA

    Hii ni kwa sababu wao kama wanaCCM hawana upande wowote ndani ya CHADEMA hivyo itazuia malalamiko yoyote toka kambi ya Lissu au Mbowe. Nape na Makamba ni wazoefu wa mambo ya uchaguzi hivyo watawasaidia sana wenzetu wa CHADEMA kwenye uchaguzi wao hasa kwenye kuhakikisha usalama wa kura. CHADEMA...
  17. Cute Wife

    LGE2024 Dodoma: Mwenyekiti CHADEMA akiwasha, apora daftari la wapiga kura baada ya kubaini kuna rafu

    Wakuu, Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 Baada ya kutoridhika na majibu ya wasimamizi wa kituo Cha kupigia kura...
  18. Mzee wa Code

    LGE2024 Dodoma: Baadhi ya wasimamizi wa uchaguzi hawapo vituo vya kupigia kura. Mawakala wa vyama waingia mitini, askari wamekuwa wasimamizi wazuri

    Baadhi ya Wasimamizi wa Uchaguzi hawapo katika Vituo vya Kupigia Kura Jijini Dodoma, Mfano ni Kituo cha kupigia Kura Ofisi ya kata ya Chamwino hakuna msimamizi wa uchaguzi na Askari wote kwa pamoja hawapo kwenye vituo vya kupigia kura, Msimamizi wa Kituo cha kupigia kura Mtaa wa nduka chamwino...
  19. Waufukweni

    LGE2024 Askofu Dkt. Shoo atoa wito kwa Wasimamizi wa Uchaguzi na Serikali kuchukua hatua dhidi ya Hujuma za Uchaguzi

    Akizungumza hii leo na waandishi wa habari kuhusiana na zoezi la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa linaloendelea nchini, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) na Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo ameitaka serikali na...
  20. Mindyou

    LGE2024 Geita: Wagombea walioenguliwa watuhumiwa kutoa vitisho kwa wasimamizi wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Wakuu Kumbe CCM wakiwatishia wapinzani ni sawa tu lakini Waoinzani wakiwatishia CCM, viongozi wake wanaenda hadi kwenye vyombo vya habari kulialia Hivi karibuni nimemuona Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Geita, Yefred Myenzi, akieleza kuwa baadhi ya wagombea ambao majina yao yalikatwa...
Back
Top Bottom