Salamu kwenu wakuu,Nina pikipiki yangu aina ya TVS 125.
Tatizo lake ni pale ninapowasha taa kubwa ya mbele baada ya dakika kadhaa pikipiki inazima, na inapotaka kuzima nikizima taa inaendelea kuwa fresh.
Nilienda kwa fundi akasema tatizo ni rectfire, nikabadili rectfire lakini tatizo likabaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.