wasanii wa ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MamaSamia2025

    PostGE2025 Ni wakati sasa wa wana CHADEMA kununua kazi za wasanii wao waliowasapoti badala ya kuwalalamikia wale walioisapoti CCM

    Nay wa mitego, Rosa Ree, Wakazi, Sugu na wasanii wengine wanaosapoti upinzani wasapotiwe na makada wenzao ili wazibe pengo lililopo. Hakuna haja ya kuwalaumu wasanii waliokisapoti chama pendwa CCM wakati kuna wasanii wenye mahaba na CHADEMA. Ninawasihi wanaCHADEMA nunueni nyimbo za wasanii wenu...
  2. Area 56

    Suala la msanii AY kutoka kuwa wa Kimataifa mpaka kugeuka “Chawa mwandamizi” linahitaji mjadala fikirishi

    Huyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa. Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake! Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia. Kichaa Dotto Magari...
  3. W

    PreGE2025 Huu ndiyo ubunifu wa wasanii au ni kujitoa akili?

    Wakuu nimeona Msanii Stan Bakora akiwa na mwijaku wanaigiza kama wamepatwa na kichaa huku wanagalagala chini, lengo likiwa ni kusheherekea miaka 48 ya CCM. Soma pia: Pre GE2025 - Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya...
  4. W

    PreGE2025 Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya

    Hivi kwani ukiwa msanii ni lazima u support CCM wakuu? Jamaa kwenye mambo ya chama wapo mbele sana ila kwenye mijadala muhimu kuhusu taifa wapo kimya yani inshort ni kama roborts jamaa. Mastaa wa Hiphop na Bongofleva, Fid Q, AY, Chege na Madee wameungana na Viongozi wa Jumuiya ya Umoja wa...
Back
Top Bottom