wanafunzi wa yesu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    JamiiForums Tanzania SDA kanisa langu kubalini kuwa wanafunzi wa Yesu na sio waumini wafuasi wa Ellen White

    Wanafunzi wa Yesu waliambiwa "Enendeni ulimwenguni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi..." Wafuasi wa kweli wa Yesu hawajahitimu hadi Yesu atakaporudi ndipo tunaambiwa atawapa taji. Kuna hatari ya kujitengenezea theolojia na kuifuata kama ilivyo hata kama ina mapungufu. Kanisa linapaswa kujua...
  2. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa Yesu Walikuwa Waislam - Quran

    Quran tukufu isiyo na chembe ya shaka inasema Quran 3 :52 "Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu? Wanafunzi wake wakasema: Sisi ni wasaidizi wa Mwenyezi Mungu. Tumemuamini Mwenyezi Mungu, na shuhudia kwamba sisi hakika ni Waislamu. Sasa...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Zawadi kubwa kwa Msabato mwenye ushahidi wa Biblia kuonyesha kuwa wanafunzi wa Yesu waliendelea Kuitunza sabato hata baada ya Kufufuka kwake

    Naomba nukuu kamili kutokea kwenye maandiko yaani biblia na sivinginevyo
  4. Lugoda lwa chuma

    JamiiForums Tanzania Wajuzi wa Biblia, Kwanini Yesu aliwauliza wanafunzi wake yeye ni Nani?

    Habari zenu Wana jamvi. Moja Kwa moja niende kwenye mada husika...Ukisoma biblia kuna muda yesu aliwauliza wanafunzi wake kuwa watu wanamwita nani, kuna walio mjibu kuwa watu wanasema wewe ni Elia, kuna wengine wakajibu kuwa watu wanamwita mwalimu e.t.c, Kisha akawauliza tena "Ninyi mwasema mimi...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Naomba majibu kuntu ya swali hili?

Back
Top Bottom