wanachama chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Kadogosa awapokea Wanachama 35 Kutoka CHADEMA, UDP, CHAUMMA na ACT-Wazalendo

    Mgombea ubunge Jimbo la Bariadi Vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Masanja Kadogosa amewapokea wanachama kutoka vyama mbalimbali vya upinzani ambao wamejiunga na CCM wakati akinadi sera zake katika Kata ya Sapiwi Wanachama hao wanatoka Chadema, ACT- Wazalendo, UDP pamoja na CHAUMMA...
  2. Just Pray

    GE2025 Wanachama CHADEMA wazuiwa kuingia mahakamani kesi ya Lissu

    Baadhi ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamezuiliwa kuingia katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, ambapo kesi ya Mwenyekiti wao inaendelea kusikilizwa, kwa madai kwamba ukumbi wa mahakama ni mdogo. Wanachama hao wamelalamika kwamba kitendo hicho...
  3. Wakipekee

    Naomba kufahamu jinsi ya kujiunga Uanachama Wa CHADEMA Online

    Habari wadau..? Nimekua mshabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa muda mrefu sana.. sasa naona ni Muda sahihi wa kua na kadi ya chama hichi hasa katika kipindi hiki ambapo tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu.. Naamini humu Kuna wanachama wengi wa Chadema, ningependa kujua je...
  4. Erythrocyte

    CHADEMA ni Moja, Wanaotaka kufukuza wenzao wadhibitiwe haraka

    Natoa onyo kwa kikundi kinachoratibu Kufukuza wengine ndani ya CHADEMA, sitaki kuamini kwamba Katibu Mkuu na Mwenyekiti mpya mnaweza kupanga jambo hili duni na la kijinga, kemeeni jambo hili haraka sana, Uchaguzi umekwisha kwa tofauti ya kura 31 tu, kimsingi hakuna aliyeshinda bali Mshindi wa...
  5. Nehemia Kilave

    Kwa sasa CHADEMA inahitaji wanachama Hai wengi kuliko wakati mwingine wowote, Tushiriki kuimarisha chama

    Kwanza nitoe pongezi kwa viongozi wote waliochaguliwa na kuteuliwa katika uchaguzi huu wa CDM 2025 . Pili mwaka huu ni mwaka wa Uchaguzi mkuu , pesa zinahitajika sana na adhani hutuna uhakika kama zile hela zilizokuwa zinatolewa kipindi kilichopita kama zamani hivyo wanachama na watu wenye...
Back
Top Bottom