Habari za muda huu wana JF,
Leo nimeona nitoe shukrani au kuwapongeza MAIMAMU wa misikiti mbalimbali hapa Jijini Dar es Salaam,kwa kuanzisha utaratibu wa kuwasaidia ndugu zetu walemavu wa Macho.
Nimejaribu kufuatilia Misikiti mingi nimeona wameweka siku na muda maalumu wa kuwasaidia watu hawa...
KUWAHESHIMU NA KUWALINDA WATU WALIO NA ULEMAVU KWA AJILI YA KULIJENGA TAIFA LA KESHO
Tanzania tuitakayo miaka mitano ijayo.
Ni pamoja na kutunga sera, sheria pamoja na kanuni kwa watu wenye ulemavu ili kuwajali, kuwalinda na kushirikiana nao katika maendeleo ya kilijenga taifa la kesho kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.