Nimesikiliza kwa makini sana interview Yako na Jambo Digital Tv Online, mwishoni Mwandishi akakuuliza yake yaliyotokea Tarehe 29 Oktoba 2025 ukamjibu iundwe Tume ya Mahakama ya Truth and Reconciliation kama Ile ya Askofu Desmond Tutu ya South Africa ili wahusika wawajibishwe na Viongozi wa Dola...