Kwa mujibu wa Tume ya Uchaguzi nchini Uganda, kuna zaidi ya wapiga kura milioni 21 waliojisajiliwa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Januari 15, 2026. Wapiga kura wataamua ni nani watamchagua kati ya wagombea 8 wanaowania nafasi ya urais kutoka vyama mbalimbali nchini humo...
Rais Yoweri Museveni wa Uganda, ambaye anagombea kuchaguliwa tena katika uchaguzi wa Januari 2026, hakujitokeza kushiriki mdahalo wa televisheni wa wagombea urais uliofanyika usiku wa kuamkia leo.
Kwenye mdahalo huo, wagombea watano pekee kati ya wanane ndio walihudhuria, akiwemo mpinzani mkuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.