Baada ya kutolewa kwa ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Dkt. Charles Kichere Machi 27, 2025, Ikulu jijini Dar es Salaam, kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Furaha Dominic, amependekeza itumike adhabu ya kunyongwa kwa wale wote waliohusika katika ubadhirifu wa fedha...
Kwanza kabisa natoa pongezi kwa waziri Mkuu kwa moto alio uwasha kwa kufanya ziara ya ukaguzi wa miradi yote ya Serikali inayo endelea kwenye kila Mkoa nchini.
nafuatilia kwa karibu kila ziara za ukaguzi Mkoa wa Iringa, Katavi, Tabora, Pwani n.k, imebainika karibu kila mradi kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.