wabunge covid 19

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    PostGE2025 Ester Bulaya: Kama Rais wa nchi ametangaza maridhiano, huyo anayekataa ana jambo lake

    Nimewaza tu kwamba kulikuwa na kipindi ambacho huyu ndo alikuwa ni moja kati ya think tanks ya CHADEMA Kama Mbaga Jr anavyopendaga kusema, inasikitisha sana ------------------- Mbunge wa Bunda Mjini mkoani Mara, Ester Bulaya, amesema hotuba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuhusu kilichotokea...
  2. Zanzibar-ASP

    Wabunge wote wa Covid 19 ni mizoga ya kisiasa, hawauziki popote, wanasaka kichaka cha kisiasa cha kuwazika kisiasa kwa heshima

    Kwa sasa kama kuna wanasiasa wasioleweka, wasioweza kuaminika au kukubalika popote, basi kundi la wabunge wa Covid 19 ndio kinara. Kisiasa ni kama wamechanganyikiwa hivi, hawajui pakushika na hawajui pakuacha, chochote kilichopo mbele yao chenye kutoa mwanga wa matumaini wa maisha yao ya kisiasa...
  3. Z

    PreGE2025 Unawezaje kujiita chama kikuu cha upinzani wakati una mbunge mmoja na covid 19 uliyofukuza uanachama?

    Chadema mnachanganya mambo!! Kwa sasa chadema ni chama kidogo sana chenye mbunge Mmoja wa kuchaguliwa!!! Mmeharibu zaidi kwa kukataa kushiruki uchaguzi .Hili siyo sawa .kumbe hamna mipango mizuri kabisa!! Yani mnaamini kuwa mnaweza kishinda uchaguzi bila kuwa na wabunge wengi? Kwa nini...
  4. M

    PreGE2025 Tundu Lissu: Wabunge 19 wakitaka kurudi waje wakieleze chama waliingiaje Bungeni

    Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, ameweka wazi kuwa kama wabunge 19 waliofukuzwa chama wanataka kurejea waje wakieleze chama waliingiaje bungeni. Lissu ametoa kauli hiyo wakati wa mahojiano na kituo cha habari cha Bongo FM siku ya Ijumaa, Januari 24, 2025, ambapo ameonesha mashaka juu...
Back
Top Bottom