Imeelezwa kuwa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imejipiga kuwa na Chuo kila Wilaya nchini ili kusogeza karibu fursa ya wananchi kupata ujuzi ambao utaweza kuwawezesha kujiinua kiuchumi.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, wakati...
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema Rais Samia ameagiza kila wilaya ambayo haina VETA ya serikali ijengewe VETA ya serikali. Ujenzi unaendelea katika wilaya 64 Tanzania nzima.
Vile vile, wakati Rais Samia anakula kiapo, kulikuwa na mikoa mitano ambayo haikuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.