vyanzo vya maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Tunakoelekea, Chadema na John Heche watalaumiwa kukausha vyanzo vya maji na kuleta ukame nchini

    Hellow! Ndugu John Heche na Chadema kwa ujumla, huu ni muda wa kukaa kimya kusubiri matokeo. Kama ushauri mlishatoa wa kutosha na hamkusikilizwa, hivi sasa muda wa kuonyesha mapungufu na udhaifu wa Serikali batili umepita. Ushauri: Mkiendelea kuwashauri, watawatuhumu kuleta tatizo la maji...
  2. RC Kilakala aonya wanaoharibu vyanzo vya maji Morogoro

    Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mussa Kilakala, ametoa wito kwa wananchi kuacha mara moja kufanya shughuli za kibinadamu kama vile uchenjuaji wa madini na kilimo karibu na vyanzo vya maji, ili kuepusha madhara ya mafuriko yanayolikumba eneo hilo mara kwa mara. Akizungumza Oktoba 15, 2025 wakati wa...
  3. D

    ARV za kutwa kwenye vyanzo vya maji south afriy

    I will be short South Africa maji ya bomba na mito ni mwendo wa kunywa ARV TU.
  4. Waziri Jumaa Aweso awataka Wananchi kulinda mazingira ya vyanzo vya maji kwa kuacha kukata miti ovyo

    Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewataka wananchi kulinda mazingira ya vyanzo vya maji kwa kuacha kukata miti ovyo na kufanya shughuli za kibinadamu ili kuepuka ukame. Ametoa wito huo mara baada ya kutembelea mabanda ya maonesho wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani leo Juni 2, 2025...
  5. W

    PreGE2025 DAS Mtewele awataka wananchi wa Kasulu kuvitunza vyanzo vya maji

    Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma Theresia Mtewele, amewataka Wananchi wa Wilaya hiyo kutunza mazingira ya vyanzo vya Maji ili kuendelea kupata Maji safi na salama. Mtewele amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuwa kinara wa kuhakikisha miradi mbalimbali ya Maji inatekelezwa...
  6. P

    LGE2024 Tatizo la maji kwa nchi iliyobarikiwa vyanzo vingi kama Tanzania, linatatiza sana moyoni mwangu

    Maji ni muhimu sana kwa maisha ya viumbe hai. Sasa inapotokea huduma hii haipatikana tena kwa nchi iliyobarikiwa vyanzo vingi vya maji kama Tanzania, natatizika sana moyoni mwangu. Wenzangu watanzania weusi mliopewa dhamana ya kuzisimamia rasilimali za nchi hii basi niwaombe tu kuwa mtimize...
  7. Chalamila: Kwenye vyanzo vya maji Dar hatuna ukame tatizo kwenye mitambo ya kuchuja na kusukuma maji

    Wakuu salam, Chalamila ameelezea kinachopelekea ukosefu wa maji kwa wakazi wa mkoa wa Dar katika ziara ya Majaliwa wilaya wa Temeke iliyoanza leo Oktoba 5, 2024. "Mahitaji ya maji katika mkoa wa Dar kwa siku ni mita za ujazo laki sita na themanini na tano sawa na lita milioni sit ana themanini...
  8. Rais Samia: Tusiharibu vyanzo vya maji, ndiyo uhai wetu

    “Mnakumbuka wakati wa kampeni, tuliahidi kumtua ndoo mama kichwani. Sasa tumekwenda kuifanyia kazi ahadi ile. Tumeifanyia kazi kwa kusambaza miradi ya maji nchi nzima. Kama mnavyoona tulivyofanya Ruvuma na nchi nzima ni hivyo hivyo. Kwa hiyo tunatarajia ikifika mwaka kesho 2025 tuwe tumetimiza...
  9. K

    SoC04 Kuweka salama Vyanzo vya Maji kwa kupanda Miti Nchi nzima kupitia Wajumbe

    Kufikia Tanzania tuitakayo ni lazima kuhakikisha kuwa Vyanzo vikuu vya maji vinatunzwa na kulindwa ipasavyo kwakuwa Nchi inaweza kuweka malengo pamoja na mipango madhubuti kabisa lakini bila mpango mkakati juu ya suala la vyanzo vya maji ikashindwa kufikia malengo kwakuwa vyanzo vya Maji katika...
  10. R

    SoC04 Mazingira katika vyanzo vya maji

    Tanzania ni nchi ambayo inahamasisha sana katika utunzaji wa mazingira. Maeneo ya miji mikubwa kama DAR ES SALAAM, ARUSHA na MWANZA wanapambana ipasavyo kuhakikisha mazingira yanakuwa safi, na hata viongozi wa nchi wanahimiza sana katika swala nzima la mazingira. Licha ya kupambana kwa ukubwa...
  11. J

    SoC04 Mikakati 5 ya kutunza vyanzo vya maji itakayo isaidia tanzania miaka 10 ijayo katika upatikani wa maji mijini na vijijini

    Changamoto ya upatikanaji wa maji katika maeneo ya mijini ina vijijini inachochewa na uharibifu wa vyanzo vya maji na hivyo kufanya kiwango cha maji kinacho patikana kiwe kichache ukilinganisha na mahitaji ya watu wa Tanzania, Hivyo ili kutunza vyanzo vya maji, Mikakati hii mitano itasaidia...
  12. Vyanzo vya maji visivyo kauka/ vya kudumu

    Nakumbusha tu kuwa, Kipindi hiki cha Kiangazi kitumike kutambua vyanzo vya maji visivyo kauka. Hii itaepusha kuwekeza fedha kwenye vyanzo vya maji vyenye maji ya msimu. Nashauri pia kuwepo na uhamasishaji wa kuotesha miti ya maji kwenye vyanzo vya maji hata kwa zile chemchem Ndogo ndogo na...
  13. I

    Wataalamu wa Miti na Vyanzo vya maji nawaomba hapa

    JF isiwe ya stori tu jamani, tuje hapa kwenye majadiliano ya muhimu. Naulizia aina ya miti ambayo inakua kwa haraka huku pia inasaidia kutunza vyanzo vya maji kama chemchemi na visima. Tafadhali kama unafahamu niwekee hapo chini.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…