vyama vingi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    PostGE2025 Makame: Tanzania ni nchi ya demokrasia inayofuata mifumo ya vyama vingi kikatiba, haruhusiwi mtu yeyote kusema hakuna uchaguzi

    Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dkt. Abdallah Makame (CCM), akizungumza katika kipindi cha Medani za siasa amesema Tanzania ni nchi ya demokrasia inayofuata mifumo ya vyama vingi vya siasa kwa mujibu wa Katiba hivyo hakuna anayeweza kwenda kinyume nalo akisisitiza haruhusiwi mtu yeyote...
  2. R

    Mfumo wa vyama vingi Tanzania na Afrika ni mfumo kwa kuwaibia Mabeberu

    Wandugu Nimewaza na kuona kuwa mfumo wa vyama vingi afrika hasa Tanzania ni mfumo unaotumika kuwaibia wazungu pesa. Janja ya kupata pesa za bure za misaada nk. Kwa nini nasema hivi nchi nyingi mfano Tanzania ki uwazi hakuna Uchaguzi huru. Watu wanafanya kiiini macho kuwaaminisha wazungu kuna...
  3. U

    Ni bora kabisa vyama vingi vikazuiwa mara moja marufuku kwani ndiyo zao la vurugu na uvunjifu wa amani

    Wakati wa chama kimoja amani na utulivu mkubwa lakini muda huu ni vurugu. Vyama vingi zao la ukosefu amani Vizuiwe
  4. Image tuliyokuwa nayo kwamba Tanzania ni nchi ya vyama vingi lakini kwa Uchaguzi Oktoba 29 Tumejua Tanzania haina Tofauti na Burundi, Rwanda na UGANDA

    Kwa Image tuliyokuwa nayo tuliaminishwa Tanzania ni nchi ya Democrasia nchi ya vyama vingi uhuru wa kuchagua viongozi tunaowataka. Lakini kwa Uchaguzi wa Oktoba 29. Tanzania haina toafuti na Burundi, Rwanda, Uganda, kuingia madarakani lazima utokee Msituni sio kwenye box la kura ni Uongo
  5. GE2025 Kwa tulioshuhudia chaguzi za vyama vingi toka 1995 hadi sasa Hali ya uchaguzi 2025 ni tulivu sana

    So far tuwapongeze wahusika wote wa maandalizi ya uchaguzi huu wa 2025. Kwa wale tulioshuhudia chaguzi kadhaa toka mfumo wa vyama vingi uanze hatuna budi kussma hali ni ya amani mno na yenye kuvutia watu wengi kupiga kura kwa utulivu. Shetani au wahujumu waliopambana kuzuia tukio hili muhimu...
  6. Safari ya Demokrasia Nchini Tanzania toka mfumo wa vyama vingi ulipoanza hadi leo

    Mwaka 1992 uliandikwa kama mwaka wa mabadiliko makubwa katika historia ya kisiasa ya Tanzania. Baada ya miaka mingi ya mfumo wa chama kimoja uliotawaliwa na TANU kisha CCM, shinikizo la kisiasa na kiuchumi lilianza kujenga msukumo mpya. Wanazuoni wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, waandishi wa...
  7. Tanzania hakuna mfumo wa vyama vingi

    Tanzania Haina Demokrasia ya Kweli ya Vyama Vingi Ni Udanganyifu Ulioratibiwa na CCM Tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, Tanzania haijawahi kuwa na demokrasia ya kweli. Badala yake, tumeendelea kuishi ndani ya mfumo wa chama kimoja uliovaa sura mpya chini ya ushawishi mkubwa...
  8. T

    Tabia ya CCM kutaka kuua upinza wa vyama vingi ndiyo itakuwa kifo chake

    Tuliwambia siku nyingi kuwa tabia ya CCM kutaka kuua upinzani ndiyo itakuwa chanzo cha kifo chake. Duniani mpaka mbinguni upinzani ni muhimu. Ndiyo maana hata Mungu alimuacha shetani aendelee kuwapo kama mpinzani wake. Kwa nguvu tunayoamini anayo Mungu alikuwa na uwezo wa kumaliza shetani...
  9. Tufute mfumo wa vyama vingi kibaki kimoja, Demokrasia siyo saizi yetu

    1.Tuna tumia muda mwingi kubishana kuhusu itikadi za vyama badala ya mustakabali wa nchi yetu. Mwaka mzima ni vyama, vyama ...upuuzi 2.Tunaumizana sisi kwa sisi kisa tu tumetofautiana vyama, kuna watu wako magerezani na wengine wamekufa au kujeruhiwa sababu ya vurugu za vyama. 3. Kila...
  10. Mfumo wa vyama vingi ufutwe

    Haya ni maoni binafsi maana kwa Sasa inaonekana kushabikia siasa za upinzani ni kosa la kukuletea umauti. Wakusoma 12 kwa napendrkeza mfumo wa nyama vingi ufutwe ili taifa lifuate mrengo wa chama kimoja Cha siasa. Hatuwezi kuendelea kupoteza maisha ya watu kisa vyama vya siasa na hili ni...
  11. M

    Haijawahi kutokea tangu Dunia iumbwe chama cha upinzani kufanyiwa hivi

    Mambo makuu ya kisiasa ambayo hajawahi kutokea tangu Dunia iumbwe na tangu mfumo wa vyama vingi vya siasa uanze Nchini ni pamoja na:- 1. Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Nchini kupigwa ndani katika mwaka wa uchaguzi Mkuu. 2. Chama kikuu cha upinzani kuondolewa kwenye uchaguzi Mkuu. 3...
  12. Kwa nafasi ya Uraisi, Uelekeo wa Vyama vingi vya Upinzani nchini ni Kumuunga mkono Mgombea urais wa CCM Dr.Samia Suluhu Hassan, Unadhani ni Kwanini?

    Ni kipi hasa kimewavutia zaidi vyama vya wapinzani nchini hata kujizuia kufikiria kusimamisha wagombea urais kupitia vyama vyao vya siasa, na kutoa fursa hiyo adhimu kwa kuunga mkono azma ya Dr.Samia Suluhu Hassan kugombea nafasi ya uraisi wa JMT katika uchaguzi mkuu wa October mwaka huu 2025...
  13. O

    Kitendo cha mahakama kuifungia CHADEMA kufanya siasa wakati huu, imethibitisha wazi ulaghai uliofanywa na Nyerere na CCM katika kuruhusu vyama vingi

    WaTanzania mtamwelewa sasa Lissu anavyosema Nyerere ameitendea uovu mwingi nchi hii! Alishiriki kuanzisha VYAMA VINGI vya ulaghai kwa katiba ileile ya chama kimoja! Zaidi aliongeza na Sheria za kihuni kwamba matokeo ya Rais yasihojiwe mahakamani! Sasa wananchi wameshtuka wanataka katiba na...
  14. K

    Je tuna vyama vingi kwasababu ya wazungu au Watanzania?

    Je tuna vyama vingi kwasababu ya wazungu au Watanzania?? Mfano wa Chadema 1. Mwenyekiti kafunguliwa kesi ambayo haina ushahidi mpaka leo ya uhaini. Yupo Jela 2. Tume imeizuia bila kufuata sheria zozote kushiriki uchaguzi 3. Msajili wa vyama amezuia kulipwa ruzuku 4. Msajili kaengua viongozi...
  15. Kalooism, Africa inahitaji demokrasia ya kijamii ili isijichetue baada ya demokrasia ya vyama vingi kwa mtazamo huo?

    Ndugu wanajukwaa karibu katika  Kalooism na mtazamo wa Afrika ijayo. Utangulizi, Waraka wa Amani  Kwa Taifa ni kuyafungua yaliyokuwa yamefichwa toka tumboni mwa mzazi na alichokizaa Bahati Bukuku (siku ya msiba usiku wa matanga).Na hakika maneno yana safari ndefu(etymological...
  16. Kuelekea uchaguzi: Tukumbuke duniani kuna walioendelea kwa Chama kimoja, Vyama vingi na kwa udikteta wakizalendo

    Tusije tukajisahau kudhani umasikini utaisha kwa kuwa na katiba imara yenye kuleta uwasawa wa kidemokrasia. Hii ni hatua nzuri lakini sio lazima ilete Maendeleo kama watu wetu watakuwa na akili hizihizi. Kuna pengine hii ndio imeharibu kabisa kabisa. Kuna CHINA ilikuwa masikini kwa Chama...
  17. PreGE2025 Tundu Lissu: Hatutasusia Uchaguzi, tutazuia uchaguzi kwa nguvu ya Umma, sio bila mabadiliko hatutashiriki uchaguzi

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa Tundu Lissu akizungumza wakati wa mkutano kati ya CHADEMA na Jukwaa la Wahariri (TEF) unaofanyika siku ya Jumapili Machi 2, 2025 Makao Makuu ya CHADEMA, Dar es Salaam Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa...
  18. Demokrasia ya chama kimoja ni bora kuliko ya vyama vingi

    Kwa nini tusingekuwa na demokrasia ya chama kimoja ambayo inaonekana ni bora kuliko ya vyama vingi iliyojaa matatizo lukuki? Chama kiteue wagombea wa urais watatu tuwapigie kura. Hivyo hivyo wabunge, madiwani na wenyeviti wa mitaa. Demokrasia ya chama kimoja haina vurugu nyingi za kuiba kura...
  19. Tunavyo vyama vingi, tusiwabembeleze chadema kushiriki uchaguzi

    KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Emmanuel Nchimbi amesema kuwa ni kosa la kisheria na kikatiba kukilazimisha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kushiriki uchaguzi bali kiungwe mkono kwenye msimamo wao wa kutoshiriki.
  20. Wale ambao wanakataliwa kugombea Ubunge kupitia Chadema. Kuna Vyama vingi tu msikonde

    Mi nadhani ukiona CHADEMA wanasema No Reforms No Election. Njoo CCM, TLP, ACT, CUF, NCCR, CHAUMA n.k mbona rahisi sana. Haina hata haja ya kujiuliza mara mbilimbili. Hii kauli mbiu alianzisha Mbowe mwenyewe na ushahidi upo. Imeonekana hakuna reforms basi kusiwe na Election. Mbona rahisi sana...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…