Miradi mipya Kigamboni – Puna inapatikana kuanzia milioni 3 kwa kiwanja cha 20*20 meters, yaani sqm 400. Viwanja vinapatikana kuanzia ukubwa wa sqm 400 hadi 2000.
Puna Beach Plots Kigamboni ipo umbali wa km 38 kutoka Ferry, km 35 kutoka Daraja la Nyerere, mita 500 kutoka barabara kuu na mita...
Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni inawataarifu wamiliki wa viwanja vya matumizi mbalimbali ndani ya Manispaa hiyo kufanya usafi kwwenye viwanja vyao ndani ya siku saba (7) tangu leo Agosti 07, 2025.
Taarifa iliyotolewa na Kaimu Mkuu Kitengo cha Mawasiliano wa Manispaa imesema kwamba baada...
Kigamboni PUNA ya MOTO🔥🔥🔥
Karibu blchomes estates ujipatie viwanja maeneo ya kigamboni Puna
✅PUNA BEACH PLOT
Mita 650 kutoka site mpaka beach
20,000 kwa sqm 1 malipo ya cash
Unaweza kuilipa ndani ya miezi 3
22,000 kwa sqm 1 malipo ya kidogokidogo
Unaweza kuilipa ndani ya miezi 15
✅PUNA...
Modern House for Sale – Goba Half London
An exceptional opportunity to own a contemporary underground single-storey home:
5 Self-contained Bedrooms, including a Grand Master Suite
2 Elegant Living Rooms
Dedicated Study Room
Spacious Dining Area
Fully Equipped Modern Kitchen
Servant's...
Miradi Mipya Kigamboni – PUNA BEACH & RESIDENTIAL PLOTS 🏡
Viwanja vinaanzia ukubwa wa sqm. 500-800
🔴 PUNA BEACH PLOTS – Kigamboni
📍 mradi upo umbali wa:
Km 38 kutoka Ferry
Km 35 kutoka Daraja la Nyerere
Mita 500 kutoka barabara kuu
Mita 650 kutoka baharini 🌊
💰 Bei:
1 sqm = TSh 22,000...
Nauza viwanja vipo 4 vipo kigamboni njia ya kuingia Fun city nyuma ya kituo cha Njano kila kimoja kina sqm 500 kila kiwanja kinaanzia Tshs,28ML kama upo intrested njoo tuyajenge piga hii no 0743921019
Ni miaka miwili sasa tangu 2023 serikali ipo kimya ,malipo tulishakamilisha lakini hadi leo hati zetu hazijatoka na hatujui hatma yetu nini,tukutane hapa wadau wote tujadili nini cha kufanya ili kupata haki zetu
Niaje waungwana,
Kama swali linavojieleza hapo juu, ukiambiwa uchague sehemu moja tu ya kujenga kwa ajili ya makazi kati ya Chanika, Kibaha, Vikindu na Bagamoyo ila kiwanja unapewa bure.
Ndugu muungwana hebu tuambie utachagua kujenga na kuishi wapi? Na kwanini?
Wakuu nina kiwanja Changu Kigamboni (Clean Title Deed) 469 Sqm, kipo Barabara Tasaf ukitokea Dar es Salaam Zoo.
Block S, Chekeni Mwasonga. Barabara za Mtaa zipo Full Draft. Nakiuza Kwa 8M Tzs. , pM kama upo interested Asante.
VIWANJA VINAUZWA KWA OFA YA SABASABA
VIWANJA vinapatikana Vigwaza ni km 8 kutoka barabara ya Morogoro na km 1 kwenda bandari ya nchi kavu.
Kwa msimu huu wa sikukuu utapata kiwanja kwa gharama ya Tsh 1050 kwa sqm 1 Kama utalipa Cash na Tsh 1,250 kwa sqm 1 kwa mkopo ambapo utalipia 40% na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.