vituo vya polisi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyendo

    Ethiopia wameanzisha vituo vya Polisi vya kidigitali, unatoa taarifa moja moja bila kuonana na Polisi

    Ukienda Polisi kutoa Taarifa hukuti Afisa wa Polisi kwenye meza ya mapokezi, hukuti makaratasi bali unakuta vifaa vya kidigitali pekee. Ni vituo janja vya polisi ambapo mtu anaweza kutoa taarifa yeye mwenye moja moja kwa kuweka taarifa hiyo kwenye vifaa janja na Polisi kupokea taarifa na kujibu...
  2. N

    Mwigulu: Vituo vya Polisi 159 vilichomwa moto

    Leo waziri mkuu ameeleza takwimu ya sehemu ya hasara iliyopatikana tarehe 29 October kuwa ni Vituo 159 vya polisi, magari binafsi 1600, vituo vy mafuta 600, magari ya serikali 1200 ambulance 200 nyumba binafsi nyingi walijaribu kuchoma TCRA, Tanesco, ghala za mafuta kurasini , bandari ...
  3. DuaZaMama

    PostGE2025 Waziri Mkuu Mwigulu: Vituo vya Polisi vilivyochomwa ni mali ya Watanzania wala si Polisi

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema kuwa uharibifu wa miundombinu iliyotokea siku na baada ya vurugu za Oktoba 29, 2025 unapaswa kuwa funzo kwa taifa, akibainisha kwamba miundombinu hiyo si mali ya serikali bali ni matokeo ya jasho, kodi na kujinyima kwa wananchi wote...
Back
Top Bottom