viongozi wa dini na siasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Burning Spear

    Wakatoliki fake wa Samia na Mwigulu ni vita ya urais kati ya Nchimbi na Mwigulu 2030

    GT Habari ndiyo hiyo huko chamani kwa sasa ni mwendo wa kuwindana tu. Hamuwezi kuelewa kwa sasa ila kadri siku zinavyosonga mtaelewa. Ndo mtajua kwa nini Mpango aliachia umakamu wa Rais pia Samia hakumtaka Nchimbi awe makamu wake. Hesabu iko hivi, walutheri na waislamu watapiga kura nyingi kwa...
  2. PAYE

    GE2025 Viongozi wa dini Kaskazini waonyana kuelekea uchaguzi mkuu

    Zikiwa zimebaki siku sita kufanyika uchaguzi mkuu, zaidi ya viongozi 200 wa dini wa mikoa ya kanda ya kaskazini wameonyana, asitokee wa kuvuruga amani ya nchi. Akizungumza Oktoba 22, 2025 katika semina ya amani iliyofanyika Moshi Mjini, ikiwahusisha viongozi wa dini mbalimbali wa mikoa ya...
  3. tonicimmobility

    GE2025 Hawa viongozi wa dini watakuja kutueleza hayo maandiko wanayatoa wapi ya kusema tusiandamane na tuheshimu mamlaka inayoteka na kuua watu

    Jioni Ya Leo Viongozi Wa Dini Wakiongozwa Na #SheikhMwaipopo - Wamezungumza Na Waandishi Wa Habari Kuhusu Amani Ya Nchi Yetu, Huku Wakikemea Vikali Maandamo Ambayo Yamepangwa Kufanywa Na Baadhi Ya Watu Wachache Kwa Maslahi Yao Binafsi. Wakati Wakizungumza Na Waandishi Wa Habari Wamewahasa...
  4. W

    PreGE2025 Askofu Shoo: Maslahi binafsi yasitupofushe dhidi ya mazuri ya Rais Samia

    "Sisi Viongozi wa dini, Viongozi wa kiroho tunahitaji kuhimiza pamoja na haya mambo haya ya kisiasa au mambo yanayohusu uchaguzi Mkuu, Kuhimiza maboresho katika utoaji wa huduma muhimu kwa jamii. Ustawi wa watu unategemea upatikanaji bora wa huduma za afya, elimu, maji safi na huduma nyingine za...
  5. Megalodon

    PreGE2025 Ni kama Vita ya Kidini inazidi kupamba moto. Kuna kitu hakipo sawa

    Kuna attitude nime observe kwa MASHEKH na hii haina maana ya UDINI. Maaskofu wakikemea ukiukwaji wa haki za Msingi automatically Mashekhe wanaona hii ni attack kwa Samia, hivyo mashekh wengi wanajibu as defensive Mechanism ya Samia. Ukiwasikiliza vema Maaskofu unaona kabisa ni intellectual...
  6. ntamaholo

    Natamani kusikia dini zinatutangazia kujitenga na mchakato wa uchaguzi 2025

    Kwa hali ya siasa na kiwango cha matukio ya uvunjwaji wa haki za kibinadamu nchini, natamani kusikia viongozi wa dini zote wakitoka na azimio la pamoja kuelekeza waumini na wafuasi wao kujitenga na michakato ya uchaguzi. Iwaachie wanasiasa wanao ishi kinafiki mchakato wao waendelee na mchakato...
  7. Komeo Lachuma

    Video: Hawa sasa ndo Viongozi wa Dini. Siyo wale wengine wenye Njaa na kujikomba

    Huu Ujumbe mzuri sana kwa Taifa. Hata sisiem tumeona hoja zipo. Na kwa kuwa hatuna woga wowote na uchaguzi tunasisitiza kuwa tunataka Tume huru ya Uchaguzi ili Rais achaguliwe kwa haki.
  8. Waufukweni

    PreGE2025 Rais Samia: Hatutamvumilia kiongozi wa dini anayechochea chuki na uhasama dhidi ya Serikali, mkawadhibiti!

    Akizungumza kwenye Baraza la Eid El-Fitri kumbi wa JNICC Dar es salaam, leo tarehe 31 Machi, 2025, Rais Samia amesema nchi yetu (Tanzania) imeendelea kuwa na Umoja na Mshikamano kwasababu viongozi wa dini wamejiepusha na mahubiri yenye uchochezi na kuleta mafarakano. Aidha ameongeza kuwa...
  9. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Viongozi wa dini waja na kalamu ya Samia

    Kalamu ya Samia inaongea waendelea kuyasema na kuyamulika yale yote aliyoyafanya Rais Samia kuanzia mjini mpaka vijijin kuwa kalam ya mama Samia imepita kila eneo. Leo March 17,2025 viongozi wa dini wa pande zote kupitia kampeni ya kalamu ya Samia inaongea wamezungumza na waandishi wa habari na...
Back
Top Bottom