vikwazo kwa tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    PostGE2025 Balozi wa Umoja wa Ulaya akiri EU imeanza kuweka vikwazo kwa Serikali ya Tanzania baada ya Uchaguzi wa 2025

    Umoja wa Ulaya umekiri kuweka vikwazo vya kifedha kwa serikali ya Tanzania kufuatia Uchaguzi wa 2025 ambao wadau wengi walikiri kuwa ulidhoofisha demokrasia. Katika mahojiano ya kina na ya nadra, Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Christine Grau, alithibitisha kuwa umoja huo tayari...
  2. Q

    Tetesi: Mkurugenzi wa Haki za Binadamu UN leo anatarajia kupendekeza vikwazo kwa viongozi wa Tanzania

    GEVEVA: UN Human Rights Chief Volker Turk will hold a press conference on 10 December, at 10:30am CET, addressing human rights challenges around the world. Mtakumbuka 11 November 2025 Turk alisema, Tanzania Election-related killings and other violations must be investigated - Volker Türk...
  3. Heparin

    PostGE2025 Bunge la Ulaya lapitisha maazimio 9 kwa Tanzania. Lakata misaada na kutangaza Uchaguzi haukuwa huru na haki. Waliohusika na ukiukwaji kuwekewa vikwazo

    Azimio la Bunge la Ulaya kuhusu mauaji baada ya uchaguzi na kuzorota kwa hali ya haki za binadamu nchini Tanzania, ikijumuisha kesi ya kiongozi wa upinzani aliye kifungoni Tundu Lissu Bunge la Ulaya, – likizingatia Kanuni za 150(5) na 136(4) za Kanuni zake za Utaratibu, A. ikizingatia kwamba...
Back
Top Bottom