Wakuu,
Baada ya maandamano vifo vingi vimetokea vikisisabishwa na risasi za polisi. Wachache wamefanikiwa kupata miili ya wapendwa wengi huku wengi wazikinga ndugu zao kwa kutumia nguo, viatu na vitu vingine vya wapendwa wao kutokana na kunyimwa miili hiyo.
Tutumie uzi huu kama rekodi ya wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.