victor mhagama

Victor Kilasile Mwambalaswa (born 8 November 1952) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Lupa constituency since 2005.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    PostGE2025 Peramiho: Mtoto wa Jenista atemwa, CCM yamteua DC Komba kugombea

    Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya uenyekiti wa Rais Samia Suluhu Hassan imemteua Mkuu wa Wilaya (DC) wa Kalambo, Dkt. Lazaro Komba kuwa mgombea ubunge wa Peramiho, Mkoa wa Ruvuma. Uteuzi huo umefanyika Jumapili, Januari 25, 2026 katika kikao kilichofanyika visiwani Zanzibar...
  2. Narumu newz

    Victor Mhagama kugombea Ubunge Jimbo la Peramiho ni bada ya chama chake (CCM) kumpitisha kuwa mgombea

    Victor Mhagama amepitishwa na chama chake (ccm) kugombea Ubunge Jimbo la Peramiho Mkoani Ruvuma. Ni baada ya kifo cha Mama yake mzazi ambaye alikuwa Mbunge wa Jimbo hilo hilo la Peramiho kufariki dunia.
  3. McLaren

    PostGE2025 CCM declares Victor Mhagama, the son of the late Jenista Mhagama as the winner of Peramiho constituency Primaries

    Victor Mhagama, son of the late Peramiho MP from Ruvuma Region, Jenista Mhagama, has emerged as the winner of the CCM party primaries to contest the parliamentary seat for the constituency. The by-election in Peramiho is being held to fill the seat left vacant following Jenista Mhagama’s...
  4. M

    PostGE2025 Victor Mhagama ahojiwa na TAKUKURU kwa tuhuma za rushwa katika mchakato wa kura za maoni jimbo la Peramiho

    Siku chache baada ya kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Songea Vijijini, Thomas Masorwa, kwa tuhuma za rushwa zinazohusiana na madai ya kushawishi wapiga kura kumpigia Victor Mhagama wakati wa mchakato wa kura za maoni, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imemuita na...
  5. Cute Wife

    PostGE2025 Victor Mhagama aongoza kura za maoni jimbo la Peramiho

    Wakuu, CCM wanakaribia kukamilisha agizo la Zungu🤣🤣🤣 Victor Mhagama ameibuka mshindi kwenye kura za maoni katika Jimbo la Peramiho na kuwashinda wengine 27. Sasa imebaki kuangalia raia watasemaje, kama wapindue meza au waache waende na mrithi! Utafikiri tumekuwa nchi ya kifalme😒
Back
Top Bottom