Kwenye maisha ya sasa, kuna wanaume wanajishusha kutokana na hali zao za kifedha – wakiamini kwamba uzuri fulani wa wanawake hauwahusu, yaani zile pisi kali tuwaachie watu flani wenye kipato.
Wengine wanasema: “Uzuri ni wa wale wenye uwezo wa kuutunza.”
Swali:
Kuna uzuri ambao mwanaume maskini...
Mark my words, and mark them bloody well.
Kamwe—nasema kamwe—usiruhusu macho yako yakakupeleka shimoni. Uzuri wa mwanamke ni kama tangazo la bidhaa kwenye runinga: linang’aa, linavutia, lakini mara nyingi ndani yake hakuna chochote cha maana. Ukifanya maamuzi kwa kutumia tamaa zako badala ya...
Wanaume wengi wapo kwenye ndoa isiyo sahihi kwasababu ya uzuri wa mwanamke na wanawake wengi wapo kwenye ndoa isiyo sahihi kwasababu ya pesa za huyo mwanaume. Ndani ya ndoa mtu ndio anakuja kutambua kumbe kwenye ndoa kuna vitu muhimu zaidi ya uzuri wa mwanamke na mwanamke pia anatambua kumbe...
Kuna siku nilikuwa pub flan nishakura ngorondo zangu kiasi namanisha kilevi Cha bei rahisi
Kikanipa confidence ya kuongea na msichana sijui mwana mama kifupi PISI KARI
Kwakuwa nilikuwa na vitu kichwani yaani ilikuwa full confidence
Nilikuwa na uwezo wa kuongea hata na mtoto wa mboe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.