Hivi sasa Tanzania ina miaka Zaidi 60 tokea tupate Independence, ina wasomi mbalimbali na wataalamu kwenye different sectors.
kwa mujibu wa sensa ya 2022 umri kati 18-35 ni 77% ya watu wote nchini. eeh nguvu kazi ni ya kutosha.
kupitia vyuo vikuu , vyuo vya kati, ufundi(VETA), SIDO na...