Zanzibar imefikisha idadi ya watalii wa kimataifa 743,605 hadi Oktoba 2025, kiwango ambacho tayari kimevuka rekodi zote za miaka iliyopita kabla hata mwaka kuisha.
Mwaka jana visiwa hivyo vilipokea watalii 736,755, na kufanya 2025 kuwa mwaka wenye idadi kubwa zaidi hadi sasa.
Takwimu...
Sijui kama kuna mtu hapa amewahi kuombea Mgeni (mtalii) kibali cha kupiga picha akaona ugumu uliopo?
Kiujumla taratibu zilizopo sio rafiki (hazipo wazi) yaani kuna wizara sijui ngapi zinahusika hivyo kupata kibali bila maarifa ni ndoto ya mchana kwani unaweza kutumia miezi nk hivyo mgeni hawezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.