usajili mpya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    USAJILI MPYA MAN U MSIMU 2025-2026.

    Picha inajieleza. Uzi tayari.
  2. M

    Yanga acheni kuiga ujinga wa Simba kusifia usajili Mpya

    Miaka mingi Yanga imekuwa ikisajili kimyakimya bila promo za majigambo na kutishia timu nyingine ila matokeo yake yalionekana uwanjani ambapo wachezaji wapya walikiwasha hasa, mfano Mayele, Aziz Kii na Pacome katika usajili wao hapakuwa na promo hata kidogo. Tofauti na wenzao wa Simba ambapo...
  3. M

    TCRA simamieni namba za simu zilizosajiliwa zisipate usajili mpya

    Salam kwenu. Naona sasa imekuwa kero sana kwa makampuni ya simu kuamua kuzifanyia usajili upya namba simu kwa kigezo hazijatumika kati ya miezi 3 hadi 6. Leo nimemtafuta mtu kwa namba ta tigo ambayo tulikuwa tukiwasiliana kwa muda mrefu isipokuwa siku za karibuni. Naastaajabu anapokea mtu...
  4. Shilole akamilisha usajili mpya. Ajitokeza na mpenzi wake

    Msanii Nguli na Mfanyabiashara mkubwa duniani wa vyakula. Shishi beibi amekamilisha usajili mpya kuelekea mwisho wa mwaka. NB: Vijana! Uvumilivu ndio silaha kuelekea kufaidi matunda. Usikate tamaa zamu yako bado.
  5. L

    Tathmini yangu Simba Day vs APR

    1.Kuwa na makipa 2 wa kigeni ni matumizi mabaya ya fedha, Ayoub Lakred apewe Thank You 2.Kevin Kijiri ameimudu sana nafasi ya kulia, Kapombe awe mvumilivu 3.Chamou Karaboue ni beki mzuri lakini mzito kama Mohamed Quattara 4.Fabrice Ngoma apewe Thank You, wachezaji wa viungo mafundi tunao wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…