urais tff

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ngara23

    Wallace Karia amebakia kama mgombea Urais TFF, wagombea wengine wakosa vigezo

    Nafasi ya Urais TFF imebakia 1 nayo ni ya Wallace Karia, wagombea wengine 6 wamekosa sifa kwenye mchujo na usaili wa awali Tatizo kubwa lililowanyima sifa za kugombea Urais ni kukosa endorsement kila mgombea alitakiwa awe na angalau endorsement 5, ambapo mgombea Wallace Karia amevuna...
  2. GENTAMYCINE

    Ni mtu wa ajabu pekee ndiye atakayechukia Wallace Karia kushinda tena Urais TFF, ila wenye Akili tunamkubali na atashinda tu

    Mmehangaika kumtuma Mayai na Msolla ili wamngóe WK na mmesahau kuwa Karia yuko hapo kwa matakwa ya Mfumo.
  3. JanguKamaJangu

    Ally Mayay: Nimerejesha Fomu ya Urais TFF lakini nimekosa endorsement

    Mchezaji wa zamani wa Klabu ya Yanga, Ally Mayay, leo Juni 20, 2025 amerudisha fomu ya kugombea nafasi ya Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF). Mayay amegusia suala la baadhi ya wagombea kukosa endorsement na akasema kuwa hizo zote ni changamoto ambazo hujitokeza hasa nyakati kama hizi...
  4. Waufukweni

    Shija Richard, mtia nia Urais TFF kumpeleka Rais wa TFF kamati ya maadili

    Shija Richard ambae ni mtia nia ya Kugombea nafasi ya Urais wa shirikisho la soka nchini TFF, amesema amerudisha fomu yake ya Urais wa TFF bila ya kupata Endorsement hata moja. Richard Shija ambae aliwahi kuja mjumbe wa kamati ya Utendaji Yanga SC amesema wakati anapambana kupata Endorsement...
  5. Frank Wanjiru

    Ally Mayayi atangaza kugombea Urais TFF

    Nyota wa zamani wa Yanga Sc na timu ya Taifa,Taifa Stars, Ally Mayay Tembele ametangaza nia ya kushiriki uchaguzi mkuu wa TFF mwaka huu kama mgombea nafasi ya Urais wa Shirikisho hilo unaotarajiwa kufanyika Agosti 16, 2025 Jijini Tanga. Mwakilishi wa nahodha huyo wa zamani wa Stars atamchukulia...
  6. Waufukweni

    Wanaotaka Urais TFF, Uchaguzi Agosti 16,2025 Jijini Tanga

    Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatangaza Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika tarehe 16/08/2025 jijini Tanga. Nafasi zinazogombewa ni Rais (Nafasi 1) na nafasi ya Wajumbe wa Kamati ya Utendaji (Nafasi 6) Gharama za kuchukua fomu Nafasi ya Rais ni 500,000 na...
Back
Top Bottom