uraibu wa simu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Hivi ni uraibu wa simu au uraibu wa intenet, unaweza kuwa mraibu wa simu bila data ?

    Mimi nilichokiona kusema mtu ni mraibu wa simu kuna vitu vimemiss kwa kiasi kikubwa huwa naona waraibu wa simu huzitumia sana kwenye internet mfano kuperuzi google, mitandao ya kijamii, youtube, whatsapp groups, downloading, n.k.
  2. M

    Usiku wa manane nilipopita karibu na chumba cha mtoto wa miaka 12 niliona mwanga wa simu, Nahofia kashaharibika kuwa mraibu wa game au?

    Ni mtoto wa ndugu yangu kamaliza darasa la saba kaja huku kwangu. Hana simu lakini huwa anaazima ya house girl, ni smartphone. Siku ya jana nilitoka kidogo chumbani mida ya saa nane kupiga survey ya kiusalama, nilipopita karibu na chumba chake niliona mwanga, mlango ulikuwa haujarudishiwa...
  3. BARD AI

    Hizi ni dalili 7 kuwa una Uraibu (Addiction) ya matumizi ya Simu

    Simu ni Kifaa muhimu cha mawasiliano kwa binadamu yeyote lakini haitakiwi kuwa sehemu ya mwili wako kiasi cha kukufanya uwe kama mtumwa kifaa hicho. Wataalaamu wa Saikolojia wanasema, ukitaka kubaini kama umepata Uraibu (Addiction) ya matumizi ya Simu, anza kuangalia ni kwa muda gani unaweza...
Back
Top Bottom