Habari JF,
Wakuu naomba ufafanuzi mdogo hivi kuna umri flani ukifika inabidi kuoa au kuolewa, yaani kuna muda inabidi uwe kwenye ndoa. Na je, ni umri gani?
Na hii ni kwa dunia nzima au? Utakuta mtu bado maisha yako mwenyewe peke yako ujiwezi wazee na majirani wakija kila siku wanaulizia huyu...