Leo Septemba 26, 2025 – Umesainiwa mkataba wa ujenzi wa Hoteli ya Nyota Tano ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA Africa Region) itakayojengwa katika eneo la Njedengwa Jijini Dodoma.
Hafla ya utiaji saini imefanyika leo katika Ukumbi wa Spika, Bungeni Jijini Dodoma, na...
Utangulizi
Katika kipindi hiki, kuna masuala kadhaa yanayoonekana kuathiri juhudi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kusimamia mradi wa ujenzi wa hoteli ya kitalii ya nyota tano inayojengwa katika Kijiji cha Rubambagwe, Chato.
Mradi huu umewekwa kama moja ya ahadi muhimu katika ilani ya CCM ya...
Alhamisi, Aprili 25, 2024
Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa) linajenga Hoteli ya Kitalii ya nyota tano wilayani Chato, mkoani Geita, yenye lengo la kuvutia watalii katika hifadhi za mwambao huo zikiwemo za Burigi-Chato na ile ya Kisiwa cha Rubondo.
Chato. Ujenzi wa Hoteli ya Kitalii ya nyota...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.