kifungu cha 326 (1) cha Kanuni ya Adhabu [Sura ya 16 R.E 2023]. Chini ya kifungu hiki upande wa Mashtaka au tuseme mlalamikaji anatakiwa kuthibitisha yafuatayo;
i. Kwamba mtuhumiwa alikuwa ameharibu au kuharibu mali.
ii. Mali hiyo iliyoharibiwa au kuharibiwa ni mali ya mtu mwingine.
iii...