Sheikh Hasina, waziri mkuu wa zamani wa Bangladesh, amehukumiwa kifo na Mahakama Maalum ya Uhalifu (International Crimes Tribunal) kwa tuhuma za “Uhalifu dhidi ya binadamu” (crimes against humanity).
Mahakama ilibaini kwamba aliongoza ukandamizaji mkali wa maandamano ya wanafunzi mwaka 2024...