ugonjwa wa kansa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Sasa hivi kuishi na mwanamke imekuwa kama ugonjwa wa kansa kwetu wanaume

    Kutokana na mambo mengi ambayo yanatokea duniani kuhusu wanawake Mda mwingine hivi vitabu vya dini tunavitukana lakini ukichunguza vizuri vilikuwa vina haki ya kuwanyima uhuru hawa viumbe na hata mababu zetu walivyokuwa wana watenga yaani kuwashusha kabisa thamani yao walikuwa wana haki...
  2. McLaren

    Kansa yaendelea kuwa tishio Tanzania. Kilimanjaro na Dar Es Salaam yaongoza kuwa na wagonjwa wengi zaidi

    Idadi ya wagonjwa wa saratani nchini Tanzania imeripotiwa kuongezeka kutokana na mabadiliko ya mtindo wa maisha. Ripoti mpya inaonyesha kuwa jumla ya wagonjwa 16,516 walirekodiwa kati ya mwaka 2019 hadi 2023. Kwa wanaume saratani ya tezi dume ndio inayoongoza, wakati kwa wanawake saratani ya...
  3. Dennis Robert Shughuru

    Tiba ya ugonjwa wa Kansa aina zote inapatikana kupitia njia hii hapa

    Kama Rais msisitizo utakuwa kwenye hizi njia mbili Predict all cycles of abnormal protein mutation Integrate all cycles of target abnormal protein mutation into single equation so as it can be easily target by novel therapeutics compound Hata sisi waafrika tuna-uhuru wa kufikiria njia ya...
  4. Megalodon

    Je, ni kwanini Ugonjwa wa Kansa, Figo, Ini unaonekana kuwa ni tatizo Tanzania ?

    Mpaka kufika 2023, TZ ilikuwa na wagonjwa wapya wa kansa zaid ya 50K ! Prevalence ya Figo imetoka 7% kuelekea 12, 13, na 14% last update ya 2023. Same as Ini. Je, tatizo ni nini ? Kwangu mm nitapenda kujadili point moja tu among the other factors . Hizo political fame za Janabi za kula...
Back
Top Bottom