Baada ya taarifa kusambaa kuwa rais wa Venezuela alichukuliwa na vikosi vya Marekani, wengi waliuliza swali moja: Urusi na China walikuwa wapi? Kwa nini hawakuingilia kumlinda mshirika wao?
Jibu lake halihusiani na hisia, bali u halisia wa nguvu za dunia.
Kwanza, jiografia huamua nguvu...