Fikiri mfano huu: umeshika simu yako, ghafla tu unasikia imeita, kabla hata hujapokea inakatwa. Unaachana nayo. Hujabonyeza chochote.
Lakini!!
Simu yako ndio imeshadukuliwa hivyo!! Meseji zako zote za kawaida na za whatsapp, zinasomwa. E-mails zako zote zinasomwa! Simu zako zote zinasikilizwa...
Usipakue 'APP' Isiyokuwa Rasmi, katika Vifaa vyako kama Compyuta na Simu
Wapo wanaopakuwa App kutoka katika Tovuti zikisema zitawasaidia Kusafisha simu, kuweka muonekano mzuri wa Simu, App hizo hutumika kama Nyenzo ya kudukua kifaa cha Mtu huyo pasipo yeye kujua.
Zinamtaka mpakuaji kuipa APP...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.