uchukuaji fomu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Carlos The Jackal

    Siku kama hizi tungesikia Mkurugenzi kukimbia Ofisi, Mgombea Upinzani Kutekwa/kuuwawa , Fomu kunyakuliwa , Hongera LISSU kutuondolea Upinzani hewa!

    Kama LISSU angeamua kua kama Mbowe akakiingiza Chama kwenye huu upuuzi wao ambao hautafanyika bila Reforms, hizi siku za Kurejesha Fomu ingekua ni vita, Wagombea Upinzani wangefanyiwa hila za Kila ainaz kuanzia kutekwa, kuuwawa, Fomu kunyakuliwa, Mkurugenzi kukimbia n.k Mbowe alituchelewesha...
  2. Waufukweni

    Rais Samia katika picha Tatu, uchukuaji Fomu ya Urais Uchaguzi 2015, 2020 na 2025

    Jumamosi Agosti 9, 2025, Mwenyekiti wa CCM Dkt. Samia Suluhu amechukua fomu Tume Huru ya Uchaguzi kugombea Urais wa Tanzania akiwa na mgombea mwenza, Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi; hii ni mara ya tatu kwake kufika chombo hicho cha juu cha uchaguzi, safari hii ikiwa kubwa zaidi kuliko...
  3. Roving Journalist

    GE2025 Tume ya Uchaguzi yaweka wazi ratiba ya Uchukuaji Fomu kwa Wagombea wa Urais na Makamu Rais

  4. DodomaTZ

    Uchukuaji fomu CCM ni Siasa za Urithi, Umaarufu, Uwekezaji ndani ya chama au upendeleo wa uteuzi baadae?

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeingia kwenye mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwa kasi ya aina yake. Hadi sasa, zaidi ya wanachama 5,475 wamejitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi za ubunge na uwakilishi. Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa Julai 3,2025 na Katibu wa Itikadi, Uenezi na...
  5. mdukuzi

    Kasim Majaliwa kutangaza kutogombea siku ya mwisho ya uchukuaji fomu ni dalili ya roho mbaya

    Lengo lake ilikuwa nini hasa? Tulishajipanga juchukua jimbo Siku chache kabla ya kipyenga akasema anagombea nasi tukaghairi Siku ya mwisho ya kurudisha fomu anasema hagombei tena Hii kitaalam inaitwaje? Pia soma Pre GE2025 - Kassim Majaliwa, ametangaza rasmi kustaafu kugombea tena Ubunge wa...
  6. MamaSamia2025

    Ninawapongeza wanaCHADEMA kwa kuacha harakati zao kwa muda ili kufuatilia zoezi la uchukuaji fomu CCM

    Hakika huu ni uzalendo. Nawapongeza sana kina Godbless Lema na makada wengine wa CHADEMA kwa kufuatilia kwa karibu zoezi linaloendelea la uchukuaji fomu za kugombea uongozi kwenye vyombo vya dola. Hii ni ishara kuwa watanzania wakiwemo makada wa CHADEMA wana imani na CCM. Makada wengi wa...
  7. Raia Fulani

    Uchukuaji fomu usiwatishe. Ni mradi kama mingine

    Natatizwa na wanaohofia hili wimbi la uchukuaji fomu, hasa za ubunge kwa tiketi ya ccm. Ni haki yao kulingana na katiba yao na ilani yao. Kadhalika ni takwa la kikatiba mradi tu ujue kusoma na kuandika. Binafsi naamini kuwa vyombo vya uteuzi ndani ya ccm havitafanya makosa kama awali. Bunge...
  8. Mike Moe

    Utaratibu wa uchukuaji fomu za kugombea ubunge

    Habari zenu wanajamii naomba kufahamishwa utaratibu wa uchukuaji wafomu za kugombea ubunge katika nchi yetu hii ya Tanzania
  9. M

    PreGE2025 Zoezi la uchukuaji fomu limedhihirisha pasipo shaka kuwa CCM ni chama kinachopendwa, chenye mvuto na itikadi ya kweli

    Leo mitandao yote imezima, CCM imezima takataka zote za uhaini, za no reform no election, hakuna cha Heche wala mamake Heche leo, leo ni mwanzo mwisho CCM. Hivi kwa mziki huu wa watu wenye majina makubwa na mvuto kuchukua fomu kuomba ridhaa ya chama unawezaje kuzuia uchaguzi wewe? CCM ni chama...
  10. Dr Adam Francis

    GE2025 Mafuriko ya uchukuaji fomu ni kipimo cha nguvu ya CCM

    Nimepitia mitandao ya kijamii leo, na habari zilizotamalaki ni makada wa CCM kuchukua fomu. Ni wazi sasa wimbo wa "Tunazima zote, tunawasha kijani" leo umepata maana halisi. Mwitikio huu mkubwa unatoa uthibitisho wa ukweli wa takwimu kuwa hiki ndicho chama chenye wanachama wengi zaidi nchini...
  11. S

    PreGE2025 Wabunge wa CCM walalamikia mchakato wa uchukuaji fomu kuanza mapema kabla ya Bunge kuvunjwa

    WABUNGE wa CCM walalamikia utaratibu mpya uliotangazwa na Chama cha Mapinduzi wa kuchukua fomu kuanzia tarehe 1 Mei 2025 tofauti na miaka yote ambapo mchakato wa kura za maoni huanza baada ya kuvunjwa Bunge na kueleza kuwa katika kipindi hicho itafika siku Bunge litakosa Mbunge hata mmoja kwani...
  12. Mkalukungone Mwamba

    LGE2024 Isihaka Mchinjita: Katika baadhi ya maeneo wagombea wetu wametakiwa ili wapewe fomu ni lazima wapeleke vitambulisho vya uraia

    Hali inakuwa si nzuri kwa vyama pinzani nchini kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa ambapo kila leo unasikia wanakutana na vibwanga. Leo ACT Wazalendo wanasema wagombea wao bila NIDA basi fomu awapati. Mbona tuliambia kwamba uchaguzi huu utakuwa wa uhuru na haki! Lakini hali na kasoro kibao...
  13. Erythrocyte

    LGE2024 Wakili Msomi atangaza kugombea Uenyekiti wa Kijiji kijijini kwao

    Kwa Mujibu wa Maelezo yake Wakili huyu Msomi anayeitwa Deogratius Mahinyila, anasema kwamba, siku zote imekuwa Ndoto yake kusaidia wanakijiji wenzake. Kwa kukumbusha tu ni Hivi, Huyu kijana aliwahi kubambikiwa kesi ya Uhujumu Uchumi na serikali ya Dikteta Magufuli kwa kosa la kugombea Udiwani...
  14. Erythrocyte

    LGE2024 Rungwe: Hivi ndivyo Wagombea wa CHADEMA walivyochukua fomu za kugombea Uenyekiti wa Serikali za Mitaa

    Kama ulidhani Uchaguzi huu ni lelemama, na labda ulitarajia Wagombea wako watapita bila kupingwa kwa vile kuna kitisho cha kutekwa na kuuawa, basi anza kutafakari Upya Hawa hapa ni Wananchi wa Kata ya Ndato wakiwasindikiza Wagombea wa Chadema kuchukua fomu. Soma Pia: CHADEMA waanza kuchukua...
Back
Top Bottom