uchawa wa viongozi wa dini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Wale wenye kujiita Mitume na Manabii Tanzania ni aibu na fedheha kuwa machawa na wasanii kwa wenye mamlaka

    Ndugu zangu kilichonisukuma kuandika haya ni kile ninachokiona na kukisoma kwa baadhi ya wenye kujiita watumishi wa Mungu, hasa hawa wetu wa makanisa ya Kipentekoste, Mitume na Manabii na baadhi ya Wachungaji, Uchawa tulikuwa tunashuhudia kwa wafuasi wa wanasiasa na wasanii mbalimbali lakini...
  2. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Sheikh Nurdin Kishki: Uchawa unakatazwa katika Uislam

    Wakuu niaje? Nimekutana na clip ya Sheikh Kishki akisema kuwa Uchawa (kujipendekeza kwa watu ili update maslahi kumekatazwa katika Uislam). Vipi kuhusu viongozi wetu wa dini ambao wamekuwa machawa wabobevu? Hebu msikilize mwenyewe hapo chini utie neno
Back
Top Bottom