uchaguzi kenya 2027

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gavana Johnson Sakaja asema atarejea City Hall, lakini je, Wananchi wa Nairobi wameridhika na kazi yake?

    Gavana wa Nairobi, Johnson Sakaja, amesema ana imani atashinda muhula wa pili katika uchaguzi wa 2027 na kuingia katika historia kama gavana wa kwanza wa Nairobi kuchaguliwa kwa mihula miwili mfululizo. Sakaja anasema atarejea kwa wananchi akiwa na unyenyekevu, kuwasilisha manifesto yake...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Ruto na Oburu waongoza mkutano wa broad-based Naivasha kabla ya Uchaguzi wa 2027

    Rais William Ruto na Kiongozi wa Chama cha ODM, Oburu Oginga, wameongoza mkutano wa viongozi wa kisiasa unaohusishwa na mfumo wa Broad-Based Government mjini Naivasha, huku Kenya ikielekea kwenye uchaguzi mkuu wa 2027. Mkutano huo unawaleta pamoja viongozi kutoka vyama vya UDA na ODM kwa ajili...
  3. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania IEBC: Uchaguzi wa 2027 Hauwezi Kufanyika Katika Mazingira ya Chuki na Ghasia

    Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Erastus Ethekon, amesema tume haiwezi kuendesha uchaguzi katika mazingira yaliyojaa chuki, uchochezi, mgawanyiko na vurugu, huku akitoa wito kwa viongozi wa kisiasa na wananchi kulinda amani kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027. Akizungumza wakati...
  4. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwaka 2024 Kulikuwa na Pendekezo la Kuondoa Live Streaming ya Matokeo ya Urais: Je, Wewe Ulilionaje?

    Mwaka 2024, Seneti ilipokea Mswada wa Marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi uliopendekeza kuondoa sharti la Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kuonyesha moja kwa moja (live streaming) matokeo ya uchaguzi wa urais. Pendekezo hilo lilitaka matokeo yatumwe kwa njia ya kielektroniki kwa vituo vya...
  5. Mwanamwana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gachagua: Kenya ni tofauti sana na Uganda na Tanzania, wakenya hawawezi kutawaliwa kimabavu

    Aliyekuwa Makamu wa Rais nchini Kenya Rigathi Gachagua anasema Kenya si Tanzania au Uganda na kamwe hatazima azma yake ya kuwania urais. Ameongeza kuwa viongozi wa Afrika Mashariki wameambukizana tabia mbaya, na Ruto anaonekana anaiga mfano wa Rais Museveni kukaa mpaka miaka 40, haiwezekani
  6. Waufukweni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchaguzi Mkuu Kenya 2027 kugharimu TSh. Trilioni 1

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) imesema inahitaji KSh bilioni 57.3 (TZS trilioni 1.09) kwa ajili ya kuendesha Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027. Awali, Tume iliomba KSh bilioni 61.7 (TZS trilioni 1.18), lakini Hazina ya Taifa ikapunguza kiasi hicho. === The Independent Electoral and...
Back
Top Bottom