uchaguzi kenya 2027

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Gachagua: Kenya ni tofauti sana na Uganda na Tanzania, wakenya hawawezi kutawaliwa kimabavu

    Aliyekuwa Makamu wa Rais nchini Kenya Rigathi Gachagua anasema Kenya si Tanzania au Uganda na kamwe hatazima azma yake ya kuwania urais. Ameongeza kuwa viongozi wa Afrika Mashariki wameambukizana tabia mbaya, na Ruto anaonekana anaiga mfano wa Rais Museveni kukaa mpaka miaka 40, haiwezekani
  2. Waufukweni

    Uchaguzi Mkuu Kenya 2027 kugharimu TSh. Trilioni 1

    Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) imesema inahitaji KSh bilioni 57.3 (TZS trilioni 1.09) kwa ajili ya kuendesha Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2027. Awali, Tume iliomba KSh bilioni 61.7 (TZS trilioni 1.18), lakini Hazina ya Taifa ikapunguza kiasi hicho. === The Independent Electoral and...
Back
Top Bottom