uchaguzi 2030

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. baz kaiza

    GE2025 Kama kupiga kura tunahimizana hivi. Je, 2030 hali si itakua mbaya sana?

    Nini kimetufikisha hadi hatua ya kuhamasishana kupiga kura kwa nguvu kiasi hiki? Je, ni kwamba wananchi hawatambui wajibu wao, au wamepoteza imani na mchakato wa upigaji kura? Hili ni swali linalohitaji tafakari ya kina. Tunahitaji kurudi nyuma na kuangalia tulipojikwaa ili tuweze...
  2. October 2pm

    Ondoeni Shaka, Mtoto wa Jumanne Kaseja hatoweza kuchukua nchi hii kama Mama akiwa Rais

    Naona mpo na wasiwasi nyinyi wa bara. Mitandaoni kila siku mnamjadili huyo mtoto wa Jumanne Kaseja. Eeh, huyo? Huyo hata kuwa Rais hata likifufuka jua kutoka magharibi. Msiogope, jamani. Mwaijua Nungwi nyinyi? Hamuijui kabisa. Hamuiijui hata kiduchu. Lakini shauri yenu. Mtajionea kwa macho...
  3. Alloyce PR

    Nukuu ya kabla ya uchaguzi mkuu

    "Usimchague kiongozi anayeanza kuonyesha upendo kwa wananchi uchaguzi unapokaribia, wala yule anayewasaliti wenzake kwa kuwazulia mabaya, maana uaminifu na ukweli havijengwi kwa hila wala muda wa kampeni." Alloyce, P.R.
  4. Tlaatlaah

    Nakumbusha tu kwamba DR. Emmanuel Nchimbi ndiyo agenda ya taifa kwa mwaka 2030-2040

    Ningependa kusisitiza jambo hilo kwa wadau wote wa JF na kama familia, kwamba agenda ya Taifa letu kwa mwaka 2030-2040 itakua ni Dr. Emmanuel Nchimbi. Ni muhimu kujipanga vyema nyuma ya huyu muungwana mzalendo. Nilishaeleza haya miaka iliyopita, naeleza tena mwaka huu, ili asijekutokea mtu...
  5. Forest Hill

    CHADEMA ikiiga movements za "Rock The Vote" organization, watashinda uchaguzi 2030 kwa kura mpya za Gen Z

    Katika tafiti ya shirika la Twaweza walio fanya miaka kadhaa nyuma,walisema kua wafuasi wengi wa chadema ni vijana wasomi kuanzia miaka 18-40,tofauti na CCM wengi ni wazee na watu wenye elimu ya chini, Ukiangalia Demographic ya Tanzania,idadi kubwa ya watanzania ni vijana wa miaka 15-35..bahati...
  6. mwanamwana

    PreGE2025 Dkt. Slaa: Namuunga mkono Mbowe kushiriki chaguzi zijazo hata kama Serikali haitokuwa tayari suala la Katiba Mpya

    MWANASIASA mkongwe na Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa amesema anamuunga mkono Mwenyekiti Chadema, Freeman Mbowe kuhusu uamuzi wa kutangaza kushiriki katika chaguzi zijazo hata kama Serikali haitakuwa tayari kuwapatia Watanzania Katiba mpya. Akizungumza na MwanaHALISI Online...
  7. Tajiri wa kinyankole

    2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

    Nikikumbuka zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali". Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake...
Back
Top Bottom