Jesca John Magufuli amechaguliwa na wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mbunge wa viti maalum kupitia kundi la vijana kutoka Tanzania Bara.
Katika matokeo yaliyotangazwa leo Agosti 2 aliyeshika nafasi ya kwanza Damas Kamani alipata kura 409, Jesca...
Wananchi wamemchoka Mh Abood na misaada yake ya kuzika watu.kuna watu hutafuta clip ya Mbunge wao anachochangia bungeni hawakioni.
Tunajua wajumbe wakipitisha jina ameshinda kwa vile ni CCM,Sasa kwa mimi nashauri wamlete mtu mwengine atupambanie kwenye barabara za lami mjini, mjini lami...
Msomi na Mhadhiri wa chuo kikuu cha dar es salaam (UDSM)Mary Jimmy Malle (28),amejitosa rasmi kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Viti Maalum Elimu ya Juu kupitia chama cha Mapinduzi akitokea mkoa wa Arusha
Malle amechukua fomu mapema leo na kukabidhiwa na katibu wa Umoja wanawake wa chama cha...
Juni 30, 2025, Mjumbe wa kamati ya Uchumi na Fedha Ya Umoja wa Wazazi CCM Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam na Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amechukua fomu kuwania nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum Wazazi-Bara
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Juni...
Mjumbe wa baraza la Umoja wa Vijana wa Wilaya ya Ubungo jijini Dar es salaam @dorcasmshiu amechukua fomu ya ubunge wa Viti Maalumu kundi la Vijana kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akieleza kuakisi nyanja ya sayansi na teknolojia, kusaidia vijana kupata fursa mbalimbali na kufikisha hoja za...
Rose Fidelis Temu Kiongozi wa UVCCM kwa nafasi ya Katibu Hamasa na Chipukizi Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro amechukua fomu yakuomba ridhaa yakugombea Ubunge Viti maalumu Kundi la Vijana.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Aliyemkabidhi fomu hiyo ni Ahmed...
Aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa Songwe Happiness Seneda Leo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Geita kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Raphia Ally Kimaro, Mjasiriamali na Mwezeshaji wa semina za ujasiriamali kwa wanawake na vijana, amechukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge wa Viti Maalum vya Wanawake mkoa wa Dodoma.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Mbali na kuwa mbunifu wa mfumo wa...
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye pia ni Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wanawake (UWT) Taifa, Halima Nassor amechukua fomu kuwania Ubunge Viti Maalumu kundi la Wafanyakazi.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
Halima ambaye...
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lovenes Sarungi, amejitokeza kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Viti Maalum kupitia kundi la vijana mkoani Tanga, akisisitiza dhamira yake ya kuwatumikia vijana na kulitumikia taifa kwa ujumla.
Sarungi, ambaye ni mtumishi wa umma na mkazi wa Mkinga, amesema...
Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa anayewakilisha Mkoa wa Mwanza, Khadija Liganga maarufu kwa jina la Dida, amechukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge wa viti maalum katika Mkoa wa Mwanza.
Mbali na nafasi yake ndani ya UWT, Dida pia anajulikana kama mwanaharakati...
Mtangazaji na mwanaharakati wa kijamii, Mkuwe Abdul Isale maarufu kama Mamy Baby, ameonyesha nia ya kulitumikia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum.
Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) – Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Tabora, Mamy Baby...
Huyu mbunge jau sana, ndio shida ya ubunge wa kupewa, basi tuseme ni suala la muda tu kujiweka wazi kama mwanachama wa CCM, lakini hakupaswa kuwa chawa wa Mama.
Wabunge wa namna hii, wana mchango mdogo katika Taifa. Wanawaza maslahi yao badala ya maslahi Jumuishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.