Kila jinsia inacheat. Iwe wanaume au wanawake. Hii mentality ya kudhani wanaume ndiyo wanacheat saana ni uongo.
Kama wanaume ndiyo wanacheat saana, Je wanacheat na kina nani? Kwamba hawana wapenzi wanaocheat nao.
Mfano: Mwanaume aliyeoa akiwa anacheat na mwanamke. Huyo mwanamke atataka mke wa...
Hili tukio lilitokea miaka mingi iliyopita, kipindi nasoma nakumbuka kati ya form 1 au form 2.
Nitafupisha ili nisiwachoshe, baba angu alituambia kuwa kuna mwanamke alimpa mimba miaka hiyo wakaachana mwanamke akaolewa na mwanaume mwingine sasa yule mtoto alivyokuwa akaambiwa baba yake ni mzee...
Kuna utafti naufanya kuhusu tabia za binadamu na mabadiliko ya hisia!
Nafanya utafti wa tabia kabla ya kuchoma sindano ya covid na baada ya kuchoma sindano!
Naangalia uaminifu katika Angel ya uaminifu katika ndoa ukoje baada ya kuchoma covid, umepungua au umeongezeka,
Tabia za kihisia (Moody)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.