tume huru ya taifa ya uchaguzi (inec)

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    GE2025 Sugu: Tume ya Taifa ya Uchaguzi isitishe mchakato wa Uchaguzi mpaka tutakapopata reforms

    Wakuu, Akiwa anazungumza leo, Sugu ametoa Ushauri kwa Tume ya Uchaguzi kwamba isitishe mchakato wa Uchaguzi ambao unaendelea mpaka reforms zitakapopatikana Sugu anasema kwamba Samia pia asiingize nchi kwenye Uchaguzi na kupoteza mabilioni ya fedha kwenyejambo ambalo haliungwi mkono na...
  2. McLaren

    GE2025 Mgombea Urais kupitia NRA Hassan Alma achukua fomu ofisi za INEC Dodoma

    Mgombea urais kupitia chama cha National Reconstruction Alliance (NRA), Hassan Alma alivyokabidhiwa fomu za kugombea kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Dodoma
  3. Genius Man

    Tume huru kuiba kura ni halali lakini kujiandikisha zaidi ya mara moja ni kosa nimeshangaa sana hawa ni watu wa aina gani ?

    Nimesikia tume huru kujiandikisha zaidi ya mara moja ni kosa la kifungo gerezani lakini suala la kuiba kura hatulioni kwamba ni halali nimeshangaa sana. Kama mmedhamilia uchaguzi huru na wa haki msilazimishe ufanyike jinsi mnavyotaka nyinyi, bali kuwe na makubaliono ya pande zote nchini, bila...
  4. Beira Boy

    Mama nasikia machawa wote wanasema hudaiwi kuanzia na wananchi mpaka wafanyakazi basi njoo ulingoni na tume huru ya uchaguzi ushinde kwa kishindo

    Aman kwenu watumishi wa MUNGU Leo nimesikia kuwa mama hadaiwi kama wasemavyo machawa Bas tunaomba reform ili uchaguz uwe huru na khaki Kisha mama njoo ulingon bila kairima Uvurugane na LISSU Umshinde kwa kishindo 90%kwa 10% Ete mama LONDON BOY
  5. Blasio Kachuchu

    Tume yataka wananchi kutazama daftari la awali,kuhakiki taarifa zao

    Wananchi wa Kata ya Kihesa katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa mkoani Iringa wakikagua majina yao katika daftari la awali la wapiga Kura lililobandikwa katika kiuo cha kujiandikishia wapiga Kura kilichopo ofisi ya Mtendaji Kihesa. Tume Huru ya taifa ya Uchaguzi imeanza awamu ya pili ya...
  6. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Naibu Spika Zungu: Tume ya sasa ni bora kuliko iliwapa wapinzani ushindi 2015

    Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameviita vyama vya upinzani nchini Tanzania kushiriki katika Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu, akieleza kuwa hata mabadiliko wanayoyataka na kuyahimiza ya kisheria na kimfumo yatapatikana ndani ya bunge hilo na siyo...
  7. Huliza

    Dkt Slaa:Tume yenye ya uchaguzi na mkurugenzi wa uchaguzi hawana Maadili.Je ,Unawezaje kumsikiiliza mtu asiye na Maadili?

    Dkt slaa amesisitiza maadili sio maneno wala maandishi,Maadili ni matendo Aidha Dkt Slaa amesisitiza misimamo ya wananchi juu ya mabadiliko ipo mioyoni mwao huwezi kuiondoa maono ya mioyo ya watu kwa vitisho Kwa matendo ya hovyo ya Tume ya uchaguzi katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka...
  8. Dp800

    PreGE2025 Tume hii ya Kailima bila kufanyiwa Reforms hatuwezi kufanya Uchaguzi

    Tume hii ya Uchaguzi chini ya Jaji Mwambegele na Katibu wake Kailima. Imejithibitisha bila kuacha shaka kwamba haiwezi kuendesha na kusimamia uchaguzi wa haki kwa vyama vyote...
  9. O

    Haki haiombwi, inapiganiwa: Vijana wa leo kwa Tanzania Bora

    Siku moja watoto wetu watatuuliza: Tulifanya nini wakati taifa letu lilikuwa linahitaji mabadiliko? Natamani kusema nilisimama kwa ajili ya haki, nilipigania Tanzania yenye matumaini, haki, na uwazi. Sisi vijana tuna nguvu ya kuleta mabadiliko. Hatuhitaji tu kubadili jina, tunahitaji kubadili...
  10. Nguruka

    PreGE2025 Tume ya Uchaguzi yafafanua wanaojiandikisha zaidi ya mara moja mkoa wa Dar

    Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi amefafania madai ya uwepo wa wawtu mkoani Dar es Salaam wanaojiandikisha zaidi ya mara moja. Ndg. Ramadhani Kailima amebainisha nini Tume hufanya baada ya Uboreshaji kukamilika na mwisho wa siku Daftari liliso na watu waliojirudia kutoka...
  11. Mindyou

    PreGE2025 Rais Samia: Wananchi kajiandikisheni ili mpate sifa na mpate haki ya kupiga kura

    Wakuu, Rais Samia amewahasa wananchi wa Korogwe na Tanga kwa ujumla kwenda kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura, mchakato ambao unasimamiwa na Tume Huru ya Uchaguzi ukiwa unaendelea kwa sasa huko mkoani Tanga. Rais Samia alisema: "Niwakumbushe kile kijambo chetu cha mwezi wa...
  12. Mindyou

    PreGE2025 Picha: Tume Huru ya Uchaguzi yatinga mtaa kwa mtaa mkoani Morogoro kuhamasisha wananchi kujiandikisha

    Wakuu, Huko mkoani Morogoro, wafanyakazi wa Tume Huru ya Uchaguzi wameanza kuingia mtaani na kuandaa events ndogo ndogo kwa ajili ya kutoa elimu ya mpiga kura na kuhamasisha wananchi wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la mpiga kura. Haya ndio mambo tunayotaka kuona. Sasa hapa tume...
  13. Abraham Lincolnn

    PreGE2025 Gerson Msigwa: Uchaguzi hauwezi kukosekana kwa sababu ya kauli ya mtu mmoja

    Wakuu, Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali, akihojiwa kwenye kipindi cha Joto la Asubuhi kinachoruka hewani kupitia E-FM amenukuliwa akisema: “Uchaguzi hauwezi kukosekana kwa sababu ya kauli ya mtu mmoja, uchaguzi unafanyika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na...
  14. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Tume Uchaguzi: Wapigakura 594,494 wanatarajiwa wakuondolewa kwenye daftari la kudumu la mpiga kura kwa kukosa sifa

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema kwa kuzingatia matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022, inatarajia kuandikisha wapigakura wapya 5,586,433 sawa na asilimia 18.7 ya wapigakura 29,754,699 waliopo kwenye daftari baada ya uboreshaji uliofanyika mwaka 2019 mpaka 2020. Mkurugenzi wa...
  15. Mindyou

    PreGE2025 Lindi: Wapiga kura wapya 121,187 watarajiwa kushiriki kwenye Uchaguzi mkuu mwaka 2025

    Wakuu, Mkoa wa Lindi unatarajia wapiga kura wapya 121,187 kwa ajili ya uchaguzi ujao, huku vituo vya kujiandikisha vikiwa 1,308, ongezeko la vituo 70 ikilinganishwa na uchaguzi uliopita. Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Mbarouk Salum Mbarouk, amewataka wadau wa...
  16. Suley2019

    PreGE2025 Zitto Kabwe: Tume ya sasa ya Uchaguzi (NEC) inapaswa kujiuzulu ili kuruhusu kupatikana kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)

    Kiongozi mstaafu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema, Tume ya sasa ya Uchaguzi (NEC) inapaswa kujiuzulu ili kuruhusu kupatikana kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kwa mujibuwa sheria. Zitto ametuma akaunti yake ya X kuzungumzia suala hilo. Ni saa chache kupita tangu Msemaji Mkuu wa...
Back
Top Bottom