Wakuu najua hamko salama kutokana na madhila yanayoendelea kutuandama kama Taifa.
Kama mwanachama wa JF, kuna "members" wengi ambao kwa kweli huwa ninawakubali sana kutokana na upeo wao mkubwa wa kuona mbali, akiwemo TumainiEl .
Ukifuatilia michango yake mingi, na mabandiko yake, unaweza...
Asalaam Aleykum wapenzi wana JF.
Ama baada ya salamu hizo, niingie kwenye mada moja kwa moja.
Kwa wiki nzima nimekuwa nahaha kupata walau dola za Marekani 200 ili nifanye kununua vifaa fulani kwa njia ya mtandao, bila mafanikio!.
Kila benki au bureau de change ninayoenda, naambiwa haina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.