tuhuma za uchochezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Msanii

    Taharuki: Mtanzania diaspora atekwa nyara Kilimanjaro

    Anaandika Liberatus Mwang'ombe Mpaka uzi huu unapanda hewani, jeshi la utekaji la polisi hawajatoa kauli yeyote UPDATE Mdogo wake Thadei Kweka aitwaye JB Kweka, kupitia Club House amethibitisha kutekwa kwake. Ameeleza zaidi kuwa polisi wamekiri kumkamata. Tukio la kukamatwa kwake limejiri...
  2. Mafyangula

    PostGE2025 Polisi Morogoro wamkamata Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha SUA, Prof. Rasel Madaha kwa tuhuma za Uchochezi

    Kutoka kwenye ukurasa wa X wa Twaha Mwaipaya ametoa taarifa inayomuhusu Muhadhiri wa SUA kukamatwa na polisi Leo jumanne tarehe 2/12/2025 Police Mkoa wa Morogoro wamemkamata Muhadhiri wa Chuo kikuu cha SUA Prof. Rasel Madaha kwa tuhuma za Uchochezi kwenye Jukwaa la Whatsapp ambalo yeye ni...
  3. DuaZaMama

    PostGE2025 Jeshi la polisi wakiri kumshikilia Swebe wa CHADEMA na wenzake 3 kwa tuhuma za uchochezi

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za uchochezi, akiwamo Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kyela, Victoria Swebe mkazi wa Lubele na wengine watatu ambao ni Bryson Kamembe, Asajile Mwasalemba na Elia Mwalumbu wakazi wa Wilaya ya Kyela. Kamanda wa Polisi Mkoa huo...
  4. Erythrocyte

    PreGE2025 Singida: Baba Askofu Machumu akamatwa kwa Uchochezi

    Amekamatwa leo kwa kile kilichoitwa Uchochezi alioutoa kwenye Mkutano wa Lissu huko Mkalama, mpaka muda huu bado yuko Mikononi mwa Polisi. Anatetewa na Wakili Msomi Tundu Lissu --- Jeshi la Polisi mkoani Singida usiku huu limemuita kwa mahojiani Askofu Maxmillian Machumu (Mwanamapinduzi) kwa...
Back
Top Bottom