Wakuu niende moja kwa moja kwenye hoja.
TFRA wanaendesha mafunzo kwa wananchi hapa mkoani Iringa kweye ukumbi wa Neema crafts kwa siku 2 yaani tarehe 30 January 2024 na tarehe 31 kwa mujibu wa tangazo lao walieleza mafunzo hayo ni buree.
Cha ajabu kufika ukumbini wanaanza kuwachangisha...