A technician is a worker in a field of technology who is proficient in the relevant skill and technique, with a relatively practical understanding of the theoretical principles.
Habarini wakuu. Mimi ni quality control lab technician nina bsc chemistry pia Nina uzoefu wa mwaka na miezi minne katika steel industry. Natafuta kazi viwandani,migodini kote nafit. Ukinisaidia kuna pesa ya maji. Asanteni
Ventilation Technician at Barrick January 2026
Ventilation Technician (01) Vacancy
Position Description
Bulyanhulu Gold Mine is seeking to recruit a Ventilation Technician to join and grow our team.
Join our exceptional team and embody Barrick’s core values as you work with us. We are in...
POSITION DESCRIPTION:
Bulyanhulu Gold Mine is seeking to recruit a Fitter Technician to join and grow our team.
Join our exceptional team and embody Barrick’s core values as you work with us. We are in search of individuals who can champion Barrick’s DNA by:
Communicating Honestly...
Habari ya Jumapili wana wa Mungu.
Kama Tangazo linavyojieleza, nahitaji Lab Technician aliyesoma mambo ya Food Science, Logistic Specialist na Land Surveyor. Mwenye sifa hizo tafadhali anitumie CV kwenye WhatsApp namba 0615552325
Sales Technician (Solar Products) Required Preferably a lady. Experienced in solar sales & installation + customer care. Please send your CV to duniapower@protonmail.com by August 31, 2025.
Job Advertisement: Laboratory Technician at Bonite Bottlers Ltd
Position Overview
Position Title: Laboratory Technician
Qualifications
Applicant should be a holder of Diploma in Laboratory Science, Chemistry, Food Technology, or related field from a recognized institution.
Form four pass in all...
Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) established in 1959, is an autonomous voluntary National NGO originally incorporated under CAP 337 in 1973, established under the non-governmental organization Act No 24 of 2002 in 2019 with registration number 00NGO/R2/000231. UMATI is a full...
Habari wakubwa...
Kijana wenu machachali mwenye uchu wa mafanikio ninakuja mbele zenu naomba msaada wa kazi ya taaluma yangu.
Mimi ni pharm technician mwenye leseni hai na uzoefu wa kazi usiopungua miaka mitatu (3) kwenye famasi jamii na famasi za hospital pia. Nina ujuzi mzuri tu wa kutumika...
Utapewa pakulala.
Kazi ni masaa 12.
Mshahara 600k.
Chakula ya asubuhi mchana na jioni utapewa na kampuni.
Utafanya kazi zingine zitakazo husiana na mechanical.
Poleni na majukumu wanajamii kwa wale ambao mmewahi kupita utumishi kufanya interview ya electrical technician TRC karibu kuchangia interview ilikuaje maswali yalioulizwa pia hata kwa wale mnaoenda kufanya interview siku ya jumamosi mwezi huu tuje kushare madesa tunaikabili vipi interview hii.
Habari za muda huu ndugu zangu naomba kufahamishwa kama kuna mtu alishawahi kufanya interview za electrical technician utumishi tusaidiane namna ya maswali yanavyokuja katika interview zote tatu written, practical and oral
Au pia kwa mtu yeyote mwenye uelewa na interview hizo ruksa kushare...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.