tcra kuifungia jamiiforums

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Msaada kwa wanasheria: Nataka kuishtaki TCRA kwa kuendelea kuifungia Jamii Forums

    Ndugu wanasheria wote mlioko humu naomba mnipe muongozo juu ya jambo hili kwani kila kitu kipo wazi toka September jukwaa hili lilifungwa na December hii ilitakiwa lifunguliwe lakini bado. Sasa kama JamiiForums ilitimiza hukumu na sisi Wanajamiiforums, TCRA haijatimiza wajibu wake hvyo kuna...
  2. 05CUBA

    JamiiForums iishtaki Serikali mahakamani, wanajamvi tutachangia pesa ya kuendesha kesi

    Salaam waungwana, Moja kwa moja namshukuru Allah kwakuendelea kutuweka salama mpaka Sasa. Na pili namshukuru kwakutupa hiki kichwa Maxence Melo na kuendelea kukilinda. Napendekeza JF kama organization iende mahakamani kuishitaki serikali mara baada ya kufungia JF isivyohaki kwa siku 90...
Back
Top Bottom